Nunua MICROMAX, nilinunua miaka sita iliyopita, haijawahi kuwa na kwere! Na ni Smart TV.
Tena nilinunua kwa jamaa wa humu humu yupo Zenji.
Tafuta thread ya TV ina mambo mengi utampata
Unaweza usielewe tunachojaribu kukwambia, ila kama umeshapata mtoto wa kike, yatamkuta kisha utaona kama utaweza kuhimili kumpiga spana mtoto wako mwenyewe. Ikiwezekana upate mfano hai wa mtu wako wa karibu, ili uweze kuona ule upande usiotaka kuuangalia.
Una maneno makali sana, alafu unaamini sana kwenye fikra zako! Unadhani kila kilichomo kwenye akili yako ndo kiko hivyo hivyo kwenye uhalisia.
Nataka nikwambie kuwa unakosea, tena sana! Jifunze kuwaza nje ya box, jifunze kuwa na flexible mind & jifunze kuwa tayari kusikia hata usiyopenda...
Naunga mkono hoja.
Na kwa kuongezea, watengeneze namna ambayo kila mtu utaona wategemezi wako. Ili mtu usije kukuta kuna watu waliopachikwa kama wategemezi wako bila kuwa na taarifa.
Inaelekea bado hajapata mkataba wa kueleweka au mkataba wenye donge nene. Kama angepata dili la maana asingeleta chokochoko kwa mwajiri wake wa zamani!
Anachofanya anaonesha ana uchungu wa hali ya juu! Yaani anaumia mno mno!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.