Kama alivyosema CDF kinamna, kuna taasisi inatuangusha sana nchi hii, iko bize isiku kucha kutafuta wazalendo wanaolalamikia ugumu wa maisha huku adui hlisi wakimwacha akizidi kujiimarisha.
Vijana wenyewe hawa wa siku hizi, miili haina mazoezi, chips yai kila siku! Magimbi wanaita mawe...!
Aendelea tu na kina mzee "Msekwa"![emoji1787][emoji23]
Jamani, wakati ule wakenya ndiyo walikuwa wamelala, ndiyo maana Mzee Kenyatta alijichukulia ardhi karibia yote ya Kenya ikawa yake binafsi na familia yake. Sasa jiulizeni nani alikuwa anaomgoza mizoga kama hapo kama mnavyofanywa leo
Ukute kuna watu waliosomeshwa kwa kodi za Watanzania, wanalipwa kwa kodi za Watanzania wamekaa chini wakaona hiyo ndiyo njia bora ya kutumia "taaluma yao" kuondokana na "tatizo" hilo.
Hii ni laana kwa taifa
Ndugu zangu, nafsi yangu imenisukuma kuandika jambo wakati huu tunapoomboleza msiba wa rais wetu mstaafu "Mzee Ruksa" kama ifuatavyo;-
Aliuza Loliondo kwa waarabu pamoja na kelele nyingi zilizopigwa.
Alileta ada kwa vyuo vyote vya serikali IFM, Mzumbe, UDSM, n.k wakati wa Mwalimu vyuo vyote...
Wakati ndiyo amefurahia sasa, kabaki peke yakee...watu wasiofikiri watamuona ndiye nguzo iliyobaki, wengine watamwita baba wa taifa! Ilhali ana agenda zake ovu anaziendeleza bila hofu sasa.
Sasa hapo vichekesho ni kwamba watumishi watajaza kwenye mifumo weeee lkn uteuzi watakuja kupewa kina Mwijaku na "wakimbizi" (kama alivyosema CDF)kwa kigezo cha uchawa!!
Wao wanaangalia mtu anayeisifu CCM na viongozi wake tu basi! Vetting imeisha.
Mzalendo aliyewahi kulalamika kuoanda kwa sukari mtandaoni huyo anahesabika kama adui wa taifa!!!
Sijui tutatokaje hapa!!
Historia ya kweli ya Mwisilamu?
Sikiliza wewe babu, wewe ni tapeli, wakala wa ibilisi unaelenga kugombanisha watanzania kwa kutukuza imani yako ya kuletewa na waarabu!
Sisi wengine hatusubiri uje ufe ndiyo tuanze kukusema. Kama wewe unavyofanya.
We ni mhaini kwa taifa letu
Ni babu tapeli wa kihistoria anachanganya uongo na ukweli ili kupotosha kwa msingi wa udini, mi huwa namwona mhalifu siku nyingi!
Ni moja ya watu wanaogawa Watanzania wasiishi kwa kujiona wamoja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.