Search results

  1. Mzizi wa Mbuyu

    Baada ya kufanyiwa Misa Kanisani General Ogolla atolewa Kwenye Jeneza na kuzikwa akiwa na sanda tu

    Waislamu wakati mwingine sijui inakuwaje mnakuwa mnakosa kabisa ufahamu, hivi ulishawahi kujiuliza babu zako kabla ya ujio wa uislamu walizikwaje? Na unafikiri walipungukiwa nini kwa kuzikwa vile? Na unafahamu kwamba waislamu wanazikwa kwa tamaduni za kiarabu? Kwakuwa kule wenzetu kuna mchanga...
  2. Mzizi wa Mbuyu

    Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

    Tena tume ya nje ya nchi ikiongozwa na Scotland Yard Kqzee kaadui ka taifa ka mshoga lazima kaumbuke.
  3. Mzizi wa Mbuyu

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Bwanaweee... Hii hata mtume ilimshinda, alizaa nao kabisa!
  4. Mzizi wa Mbuyu

    Jordan: Watatu wafariki kwa kudondokewa na drone iliyodunguliwa

    Pole sana ndugu yangu, na siyo wajinga tu na ni wapumbavu pia...waarabu ukitafakari vizuri hawajawahi kujitegemea kikamilifu kila kitu walicho nacho lazima kitegemee nguvu ya wazungu. Hata dini yao pendwa kuna vitu wamekopi na wanalazimisha rejea kutoka ktk dini ya wazungu! Tatizo ndipo...
  5. Mzizi wa Mbuyu

    Netanyahu asitisha mpango wa kulipiza kisasi kwa Iran baada ya kukosa sapoti ya Marekani

    Madhara makubwa yanaweza kufichika kweli katika ulimwengu wa sasa? Watanzania tusiruhusu dini ziue kabisa uwezo wetu wa kufikiri.
  6. Mzizi wa Mbuyu

    Dkt Sule: Baba yangu alifungwa kwa kuwa na colgate

    Mkuu hili watu wengi hawalioni! Wanasifia nchi kugeuzwa dampo la wazalishaji wa nje... Sasa hivi hata viongozi utawasikia eti "aliifungua" nchi!
  7. Mzizi wa Mbuyu

    Dkt Sule: Baba yangu alifungwa kwa kuwa na colgate

    Eti "Propaganda"!! Mwinyi aliua ari ya ubunifu kea taifa aliua viwanda, moyo kujitegemea ukafa kabisa. Ndiye amegeuza taifa liwe kokoro la bidhaa zozote toka nje imekuwa halali yetu. Bora hata enzi za mchonga dhiki ilitufundisha kubuni vitu vyetu, tulitengeneza vyanio vya miti, viatu...
  8. Mzizi wa Mbuyu

    Dkt Sule: Baba yangu alifungwa kwa kuwa na colgate

    Sasa ingekuwa vizuri pia angesema wakati wa Mwinyi ndipo ufisadi rasmi ulianza na ikulu kugeuzwa pango la walanguzi! Tukaanza kuona viongozi wakijimilisha mali za umma yeye akiwa mmoja wao. Kuuzwa ardhi ya watanzania Loliondo kwa waarabu, viongozi kutanua kwa pesa ya Serikali bila haya, msafara...
  9. Mzizi wa Mbuyu

    Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe

    Kwa hiyo hata kura zetu hawazitaki tena? Wana simba kazi kwetu uchaguzi ujao... Wacha wapigiwe kura na wana Utopolo tu dadeki!
  10. Mzizi wa Mbuyu

    Tutapataje Fikra mpya CCM kama Vijana wetu tuliobaki nao ndio hawa akina Lucas wanaoishi Dunia ya Nyerere!

    Hebu weka sawa rekodi, Nyerere yupi aliyewatumikia wawekezaji? Yaani uvamizi wa kipungwani kabisa wa Hamas uliyopelekea hasara kubwa kwa raia wao na mali zao ndiyo unaita maendeleo?!! We sema tu tuendelee kuwananga CCM kwa kutufanya vibaya zaidi ya wakoloni.
  11. Mzizi wa Mbuyu

    Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

    Watanzania acheni kuziita chuki tuhuma za viongozi toka kwa wananchi. Wacheni viongozi wajitetee wenyewe
  12. Mzizi wa Mbuyu

    Senagal imechagua Rais kijana kuliko nchi yoyote Afrika

    Umeandika haijawahi kutokea, lkn kumbukumbu zangu kama ziko vizuri JK Nyerere alichaguliwa kuwa rais wa Tanzania [emoji1241] na miaka 43 tu, na aliiongoza Tanganyika akiwa na mika 39 hivi. Weka rekodi sawasawa ndugu.
  13. Mzizi wa Mbuyu

    Serikali yaanzisha Tahasusi (Combination) mpya 49, sasa zitakuwa 65

    Kwani tatizo la elimu yetu ni uchache wa tahasusi/combination? Wamemshirikisha nani na lini kuamua hatma ya vijana wetu? Hii nchi kwa sasa imetekwa nyara na genge baya kuliko wakoloni.
  14. Mzizi wa Mbuyu

    Waziri Mchengerwa: Nilipewa bajeti ya dola laki 5 ili kununua basi moja la mwendokasi

    Ukute hata kuongea hivyo anadanganya ili kuhamisha tatizo! Kifupi "mbwa koko" huwezi kumbadili tabia ili umfuge, unamuua. Viongozi wetu karibia wate wameharibika.
  15. Mzizi wa Mbuyu

    Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

    Kwakweli ni uwendawazimu kabisa ule. Wakitutaka ni sekunde tu...hata hizi soda nyingi formula na ingredients zake si zinatoka Merekani jamani? Sisi tunazihakiki kwa vipimo kutoka Namanyere Sumbawanga?
  16. Mzizi wa Mbuyu

    Barua kwa Rais Samia kuhusu kashfa za Balozi Mteule wa Rwanda nchini Tanzania, Jen. Patrick Nyamvuba

    Kama alivyosema CDF kinamna, kuna taasisi inatuangusha sana nchi hii, iko bize isiku kucha kutafuta wazalendo wanaolalamikia ugumu wa maisha huku adui hlisi wakimwacha akizidi kujiimarisha.
  17. Mzizi wa Mbuyu

    Hivi mtoto wa mzee na wa kijana kibaiolɔjia wawezatofautiana?

    Vijana wenyewe hawa wa siku hizi, miili haina mazoezi, chips yai kila siku! Magimbi wanaita mawe...! Aendelea tu na kina mzee "Msekwa"![emoji1787][emoji23]
  18. Mzizi wa Mbuyu

    Kuna ulazima gani wa kusema tunamshukuru Rais Samia? Kwanini isiwe tunashukuru Serikali yetu?

    Jamani, wakati ule wakenya ndiyo walikuwa wamelala, ndiyo maana Mzee Kenyatta alijichukulia ardhi karibia yote ya Kenya ikawa yake binafsi na familia yake. Sasa jiulizeni nani alikuwa anaomgoza mizoga kama hapo kama mnavyofanywa leo
  19. Mzizi wa Mbuyu

    Tabora: Anayeidai TRA Milioni 986, Ramadhani Ntuzwe adaiwa 'kujiua kwa risasi'

    Ukute kuna watu waliosomeshwa kwa kodi za Watanzania, wanalipwa kwa kodi za Watanzania wamekaa chini wakaona hiyo ndiyo njia bora ya kutumia "taaluma yao" kuondokana na "tatizo" hilo. Hii ni laana kwa taifa
  20. Mzizi wa Mbuyu

    Je, utamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi kwa mambo gani?

    Ndugu zangu, nafsi yangu imenisukuma kuandika jambo wakati huu tunapoomboleza msiba wa rais wetu mstaafu "Mzee Ruksa" kama ifuatavyo;- Aliuza Loliondo kwa waarabu pamoja na kelele nyingi zilizopigwa. Alileta ada kwa vyuo vyote vya serikali IFM, Mzumbe, UDSM, n.k wakati wa Mwalimu vyuo vyote...
Back
Top Bottom