Waislamu wakati mwingine sijui inakuwaje mnakuwa mnakosa kabisa ufahamu, hivi ulishawahi kujiuliza babu zako kabla ya ujio wa uislamu walizikwaje?
Na unafikiri walipungukiwa nini kwa kuzikwa vile?
Na unafahamu kwamba waislamu wanazikwa kwa tamaduni za kiarabu? Kwakuwa kule wenzetu kuna mchanga...
Pole sana ndugu yangu, na siyo wajinga tu na ni wapumbavu pia...waarabu ukitafakari vizuri hawajawahi kujitegemea kikamilifu kila kitu walicho nacho lazima kitegemee nguvu ya wazungu. Hata dini yao pendwa kuna vitu wamekopi na wanalazimisha rejea kutoka ktk dini ya wazungu!
Tatizo ndipo...
Eti "Propaganda"!!
Mwinyi aliua ari ya ubunifu kea taifa aliua viwanda, moyo kujitegemea ukafa kabisa. Ndiye amegeuza taifa liwe kokoro la bidhaa zozote toka nje imekuwa halali yetu.
Bora hata enzi za mchonga dhiki ilitufundisha kubuni vitu vyetu, tulitengeneza vyanio vya miti, viatu...
Sasa ingekuwa vizuri pia angesema wakati wa Mwinyi ndipo ufisadi rasmi ulianza na ikulu kugeuzwa pango la walanguzi!
Tukaanza kuona viongozi wakijimilisha mali za umma yeye akiwa mmoja wao. Kuuzwa ardhi ya watanzania Loliondo kwa waarabu, viongozi kutanua kwa pesa ya Serikali bila haya, msafara...
Hebu weka sawa rekodi, Nyerere yupi aliyewatumikia wawekezaji?
Yaani uvamizi wa kipungwani kabisa wa Hamas uliyopelekea hasara kubwa kwa raia wao na mali zao ndiyo unaita maendeleo?!!
We sema tu tuendelee kuwananga CCM kwa kutufanya vibaya zaidi ya wakoloni.
Umeandika haijawahi kutokea, lkn kumbukumbu zangu kama ziko vizuri JK Nyerere alichaguliwa kuwa rais wa Tanzania [emoji1241] na miaka 43 tu, na aliiongoza Tanganyika akiwa na mika 39 hivi. Weka rekodi sawasawa ndugu.
Kwani tatizo la elimu yetu ni uchache wa tahasusi/combination?
Wamemshirikisha nani na lini kuamua hatma ya vijana wetu?
Hii nchi kwa sasa imetekwa nyara na genge baya kuliko wakoloni.
Kwakweli ni uwendawazimu kabisa ule.
Wakitutaka ni sekunde tu...hata hizi soda nyingi formula na ingredients zake si zinatoka Merekani jamani?
Sisi tunazihakiki kwa vipimo kutoka Namanyere Sumbawanga?
Kama alivyosema CDF kinamna, kuna taasisi inatuangusha sana nchi hii, iko bize isiku kucha kutafuta wazalendo wanaolalamikia ugumu wa maisha huku adui hlisi wakimwacha akizidi kujiimarisha.
Vijana wenyewe hawa wa siku hizi, miili haina mazoezi, chips yai kila siku! Magimbi wanaita mawe...!
Aendelea tu na kina mzee "Msekwa"![emoji1787][emoji23]
Jamani, wakati ule wakenya ndiyo walikuwa wamelala, ndiyo maana Mzee Kenyatta alijichukulia ardhi karibia yote ya Kenya ikawa yake binafsi na familia yake. Sasa jiulizeni nani alikuwa anaomgoza mizoga kama hapo kama mnavyofanywa leo
Ukute kuna watu waliosomeshwa kwa kodi za Watanzania, wanalipwa kwa kodi za Watanzania wamekaa chini wakaona hiyo ndiyo njia bora ya kutumia "taaluma yao" kuondokana na "tatizo" hilo.
Hii ni laana kwa taifa
Ndugu zangu, nafsi yangu imenisukuma kuandika jambo wakati huu tunapoomboleza msiba wa rais wetu mstaafu "Mzee Ruksa" kama ifuatavyo;-
Aliuza Loliondo kwa waarabu pamoja na kelele nyingi zilizopigwa.
Alileta ada kwa vyuo vyote vya serikali IFM, Mzumbe, UDSM, n.k wakati wa Mwalimu vyuo vyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.