Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Mh. Paul Makonda amepokea meseji tatu za vitisho kutoka namba zisozosajiliwa. Akizungumza na Millard Ayo alisema meseji hizo ni pamoja na
1.Kutishiwa Kutokana na kutetea maslahi ya wasanii.
2.kutishiwa maisha Kutokana Na kusimamia sheria na katiba.. (STK)...
Habari zenu wakuu. Jana usiku nilimuachia mtoto simu baada ya kurudi nikakuta simu imejilock na inaandika PLEASE ENTER THE PRIVACY PROTECTION PASSWORD/PIN.
Nimejaribu kuweka PIN ninayotumia siku zote imegoma, Mwenye ufumbuzi au ushauri msaada tafadhali.
Simu ni TECNO H6.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.