Search results

  1. Pompoo

    Mbowe atajwa kuwa kiongozi bora wa upinzani Afrika

    Ina maana hapati chochote kutoka kwenye chama??
  2. Pompoo

    DUCE Family on JF - Special Thread

    Vijana mliofaulu vizuri karibuni sana DUCE family
  3. Pompoo

    Sipendi - Special thread

    Sipendi tabia ya mwenye nyumba kutumia LUKU moja na wapangaji halafu yeye hachangii anakusanya tu..
  4. Pompoo

    Udhalilishaji "Jay millions"

    Ahahaha iwe boojo naona unamariza hasira zako zakuriwa sario deire kupitia Jay mirion harafu washindi wengine.. :heh:
  5. Pompoo

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Boga ni tamu ukila kwa mkono
  6. Pompoo

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Tunda la wizi tamu
  7. Pompoo

    Sipendi - Special thread

    Unajuaje kama hana ashki majnun? Kipozeo changu kinamhusu nini?
  8. Pompoo

    Wakuu mkikutana ma uyu itakuaje

    Nitamuambia hata kwetu wapo kama yeye..
  9. Pompoo

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Hapa nilikua nakusubiri wewe
  10. Pompoo

    Sipendi - Special thread

    Sipendi nikiwa kwenye daladala konda kuniuliza "una mia nikupe mia mbili?" sipendiiiii
  11. Pompoo

    Sipendi - Special thread

    Ahaha hii inaboa sana kuna wakati mtu unataka kutoa lock tu mtu anakuwekea kibanda.
  12. Pompoo

    Sipendi - Special thread

    Sipendi tabia ya mama mwenye nyumba kuniangalia vibaya kila nikiwa na kipozeo nasema ukomeeee.eeeeee
  13. Pompoo

    Paul Makonda apokea meseji tatu za vitisho

    Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Mh. Paul Makonda amepokea meseji tatu za vitisho kutoka namba zisozosajiliwa. Akizungumza na Millard Ayo alisema meseji hizo ni pamoja na 1.Kutishiwa Kutokana na kutetea maslahi ya wasanii. 2.kutishiwa maisha Kutokana Na kusimamia sheria na katiba.. (STK)...
  14. Pompoo

    Wanawake wengine hawajui kusamehe

    Nakuja pm nahisi utakua my x girlfriend.
  15. Pompoo

    Wanawake wengine hawajui kusamehe

    Kama umelijua tatizo ni nusu ya kutatua. Jitahidi usamehe maisha mafupi.
  16. Pompoo

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Much respect kwako mkuu mshana jr hapa umenifikisha.
  17. Pompoo

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Walaji gani? Au Makonda
  18. Pompoo

    Msaada Simu yangu imejilock ghafla.

    Habari zenu wakuu. Jana usiku nilimuachia mtoto simu baada ya kurudi nikakuta simu imejilock na inaandika PLEASE ENTER THE PRIVACY PROTECTION PASSWORD/PIN. Nimejaribu kuweka PIN ninayotumia siku zote imegoma, Mwenye ufumbuzi au ushauri msaada tafadhali. Simu ni TECNO H6.
  19. Pompoo

    Uchovu wa mwanaume kipindi mkewe mjamzito

    Labda kama hiyo mimba mliiendea wote kwa mganga
  20. Pompoo

    Timiza wajibu wako!!!!

    True love neva end
Back
Top Bottom