Mimi nimepangwa namtumbo songea,idara ya sekondari nataka mtu wa kubadilisha naye kutoka moja kati ya mikoa hi Manyara, Morogoro, Pwan, Dsm, Iringa, Tanga na Mwanza. Kama ukotayar nicheki,0713320319 au 075703 6642
Nitafute kwa namba 0764766940. Me ni mwal hapa dar . Tunaweza msajil kituon kwetu.na mi pia ni mwalimu wa masomo hayo,tutamsaidia kadri tutakavyo weza.
Mi mwalimu wa English language and history. Experience n'nayo ya 2years, nina degree ya Baed from Udsm.Vile vile nafundisha Literature in English, nahitaji kazi ya mkataba na mshahara kuanzia laki nane,nipo dar.
Kwa yeyote ayehitaji twishen kwaajili ya mwanae ! Nipo tayari kwa kufundisha, masomo ya sanaa' mim ni mwalimu mzoefu na mwenye shahada ya uwalimu. Nauwezo na uzoefu wa kufundisha wanafunz level zote za secondari! Hata majumbani naweza kuja au waje kituo chetu. Kwa mwenye uhitaji karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.