Watanzania sijui tumelogwa!! Yaani Kagema anatuzidi akili namna hii? Angalau Geza Ulole anaelewa sababu haya matatizo yanayompata Shyrose. Wengine mnachangia msichokijua
Mimi nikuzaliwa Dar na kukulia. Ni lazima watu wote, vijana na wazee, Dar es Salaam NI CHAFU. Anzia Kongowe mpaka Kawe, Kibaha mpaka Chanika, Kote ni uchafu mtupu. Bila kujali Nairobi ni safi au chafu, nilazi tukubaliane Dar ni pachafu. Na sehemu kubwa ya uchafu unachingiwa na sehemu kubwa...
Mimi nikuzaliwa Dar na kukulia. Ni lazima watu wote, vijana na wazee, Dar es Salaam NI CHAFU. Anzia Kongowe mpaka Kawe, Kibaha mpaka Chanika, Kote ni uchafu mtupu. Bila kujali Nairobi ni safi au chafu, nilazi tukubaliane Dar ni pachafu. Na sehemu kubwa ya uchafu unachingiwa na sehemu kubwa...
Mkuu naona umbali! Ninakubaliana na wewe huyo Mh Kangi Lugora anatumiwa na anashiriki katika ujangili huu. Ninakumbuka siku mmoja akiulize "nini muhimu, binadamu au wanyama?".
Mkuu ni kuulize Operation Uhai uliwalenga kina nani? Operation yoyote hatakiwi kuchagua, Dagaa wala nyangumi. Haya maneno ya dagaa, siyo papa yana lengo mmoja tu, kuivuruga hii operation ili mpate nafasi kuendela kuua wanyama
Mkuu nakubali na wewe!! Kanali, Major, Captain, ...... Wote hawa katika JWTZ hakuna angekuwa zaidi ya Privite!! Inaonyesha jinsi hawamajangili walivyokuwa greedy!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.