Hivi zanzibar: pombe na ushoga kipi haramu kwao..maana nasikia hawataki kabisa kusikia pombe mpaka timu zao hawataki zivae nembo ya makampuni ya pombe inakuwaje hili la mashoga wameshindwa kulizibiti...
Asante kwa ushauri wako, lengo la kutaka kusoma ili niweze kutengeneza dynamic website naamini itakuwa rahisi ku-add pages,ku-modify, ku-delete pages,kukusanya information kutoka kwa wateja n.k
Asante sana mkuu..HTML nafahamu na ni basic ya PHP,ASp na mysql..Kuhusu content Management system kwa mfano Joomla nimesha jaribu kuzitumia lakini inafika sehemu na kwama...hivyo nitashukuru nikipata msaada..
Nahitaji kujifunza jinsi ya kutengeneza dynamic website lakini sijui chuo gani kina fundisha hapa Tanzania hata kama ni online..
Wana JF naomba msaada wenu
Mkuu haijaunganishwa na internet ila nimejaribu kuangalia kwenye chip zake nimeona imeadikwa hivi: conexant,fusion 878A,25878-13,0504y1d8,0504
sina uhakika sana kama inaweza kuwa ndiyo model yake.
Nashukuru sana, nimefanikiwa ila ninaombi lingine je unaweza kunisaidi kupata driver za Easy TV capture nimejaribu kuangalia model yake siioni..
asante sana
Nina External TV tuner card (pixelview model no.: pv-nt1004+) na nimepoteza cd ya drivers nimejaribu kupekua pekua kwenye mitandao nimekwama hivyo naomba msaana wenu wana JF....
SED Adventures Tours & Safaris, a unique East Africa tour operator offers Luxury Safaris and holidays in Africa. We specialize in tailor-made Wildlife Safaris to Africa, Eco-Tourism, Mountain Climbing, Beach Holidays, Car hire and Lodge Booking. We have pleasure advertising with JamiiForums.com...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.