Ninacho kijua ni kuwa kila member wa UKAWA wanafanya mchakato wao kama wao ndani ya chama chao. baada ya mchakato wa ndani kukamilika atakaye chaguliwa jina lake linapelekwa ndani ya kamati inayounda UKAWA kwa mchakato wa kupata jina moja litakalowakilisha UKAWA.
Jina uumba jila lako matatizo ulitegemea nini katika maisha yako.
Wengine wamekuambia eti anaumwa kama angelikuwa anaumwa angelikuambia. Pili wazungu ndio watumiaji wakuu tundu hilo. Kaka kama sio muumini wa tabia iyo kama mimi nakushauri achana nae hakuna mapenzi hapo. Wanakufa wazazi na...
Kama ningelikuwa nilishamwambia siku nyingi. Ninacho amini ndugu yako anatagutiwa kifo baridi, Kikubwa ni wewe kuwa namihakika nq hilo ikiridhisha mwambie tu. kuolewa hakuondoi undugu wenu.
Ni mtizamo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.