Sidhani kama shida ni MO, Nadhani ni nmna usajili wa simba ulivyo na mgao wa madaraka kwa mujibu wa katiba na miongozo ya simba. Kuna ngazi nyingi za maamuzi yanayotoa mianya mingi kuidhibiti timu. Hata ungekuwa MO, kwa usajili wa Simba ulivyo autonomy ya timu ndogo kwa MO. Watu wanatumia...
Nadhani wewe hukijui kisasi Cha Mungu, haki ya mtu haipotei mtalipa tena kwa machozi. Hadi uje ujue kwanini unaumia kilio kitakuwa chako tutosha. Ombi tu Mungu aturehemu na iwe kifochake isiwe sababu za kibiashara.
Nimevutiwa jinsi citizens walivyoandika hii Habari, sijui Kama waandishi wa Habari wa Tanzania TFF na wizara Husika mmejiandaa kuibrandi TZ kupitia fursa hii. Vinginevyo ngoma itasikika zaidi kwa jirani yako.
Pascal Naamini wewe ni Mkristo na umesoma biblia, unajua vyema kazi walizofanya manabii kwa kusaidia jamiii kuishi vizuri na pia unafaham namna mitume na manabii kama akina elisha, elia walivyofanya kazi na watawala enzi hizo kwa maani waliwatia moyo watawala kupigana vita ilipobidi na pia...
Bashe ni shujaa wa kupigiwa mfano, hukijui kilimo ndiyo maana unaongea hivyo, Mkulima wa Tanzania anahangaika sana kuwalisha wanaostarehe mjini halafu wanataka wapewe bure, ingia shambani ukalime mazao yako uone kama utarudi tena.
Wazo la Bashe ni wazo la kimapinduzi huwezi kulima kama hupati...
Kwa mwenyehekima kuomba msamaha hata kama huna kosa ni kujishusha, jambo ambalo MUngu hupenda. Kuomba msamaha ni kutafuta roho ya mapatano kwa maana hata kama una haki kujikweza hakuleti upendo wa Mungu maana unyenyekevu ni jawabu la roho. Utii ni bora kuliko dhabihu
nadhani nakuelewa vizuri sana, wangekuwa tu na uwezo wa kiuchumi kama marekani au china au urusi wangekuwa hatari sana, na kipato kinawanyima fursa kadhaa za kutumia akili zao zaidi. Binafsi naona pia ni jambo jema huenda wengejiona sana, na huenda usalama wa majirani zao ungekuwa shakani zaidi...
What happens when you mix sodium benzoate and ascorbic acid?
Another problem occurs when sodium benzoate is used in beverages that also contain ascorbic acid (vitamin C) or erythorbic acid (also known as d-ascorbic acid). The two substances, in an acidic solution, can react together to form...
Unapata wapi jjeuri hiyo ya kupinga agizo la MUNGU, wewe nani hata uharibu uumbaji wa Mungu aliagiza mtu na awe na mke wake, unadhani kuacha ndiyo kutatua tatizo?,Kwahiyo unapendekeza waziliane watoto watalelewa na mitaa au majalaa?
Msile nyama yoyote yenye damu. Msipige bao wala kufanya uchawi. 27 Nywele zenu msizikate pembeni wala kunyoa ndevu zenu. 28Msijitie alama zozote mwilini mwenu kwa ajili ya kuomboleza au kujikatakata mwilini au kujichanja chale. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.( walawi 19.27)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.