Hawa magamba wana akiili kweli??
Kwani hawa hawajui kuwa huyo Lowassa hatokuja kwa wananchi kumpigia kura hadi wao wenyewe wamuidhinishe?
Hii ni ishara ya kuomba msaada wa wananchi kwavile wao wenyewe hawana ubavu wa kuzuia?
Chama kinachojinasibu kufanyahivi ni kuanika udhaifu wao.
[U]A TIMETABLE OF EVENTS IN NORTH- SOUTH SUDAN
[/U1947;Leaders of Souther Sudan's tribes meet in Juba and decided to unite with the North with application of federal rule system of government.
1954; Members of constituent Assembly (Parliament from both northen and southern Sudan agree on the...
Wacha hasira isio na sababu! Hapa halikusemwa kanisa wala ukiristo bali wale watendao uchafuzi wa pahala pa ibada. Hilo la unafiki lipo kila pahala lakini kwa sasa tunaangalia pahala pa ibada na matendo machafu hapo. Huu unafiki upo hata kwa wapenzi wetu mbali ya imani za dini!
Angalia wenziwe(jaji Mkuu na Mrajisi Mkuu) wao pia hawana viatu. Shein kwa siku hiyo hakuvaa viatu vya buti vinavyomfanya avae soksi. As simple as that!
Umesema kweli kabisa kuwa hao kina Slaa na Lipumba hawajulikani na watu! Hawajawahi kuwa Marais wa kuamuwa kipi kifanywe na kipi kisifanywe.
Bora ungejibu hilo suwala tu kuliko kuwafananisha Slaa na Lipumba kwa nafasi ya kutenda aliyonayo JK. Hivyo baada ya mazuri yote aliyofanya JK ipo...
Tatizo liko wapi kwani hao madokta wameshatufanyia nini? Angalau anajuwa Kingereza atakuwa kiungo mzuri katika shirikisho la Afrika Mashariki kwani hivyo ni kitu adimu hata kwa magraduates wetu!
Ni kweli kila mtu atauchukua mzigo wake lakini sio kweli kuwa wazazi hawatolipwa kwa uzembe wa kutowaelekeza watoto wao maadili na sio kweli kuwa wachungaji hawatokuwa na fungu kwa kutofanyakazi zao za kuwaongoza waumini.
Angalau umekubali kuwa Waislamu hawafanyi watakavyo wakiwa msikitini na...
Amiri wa Mji mmoja wa Saudi Arabia ambae ni wa ukoo wa kifalme (prince) amesema atawakatia maji na umeme wakuu wa mashirika hayo mawili ili waelewe adha wanazopata wananchi kwa kukatiwa umeme na kukoseshwa maji.
Pengine viongozi wetu tunaowachaguwa kwa kura wangekuwa na moyo wa kuwajali...
REV Heko kwako kwa uzalendo! Lakini huu mzigo tulionao sasa isingefaa kuutwisha kwa Kikwete peke yake bali kwetu sote Watanzania!
Nitowe mfano wa Grecce sasa ilivyo kuwa unafanana na yanayotaka kutokea Tanzania. Watanzania tayari tumeshajizoesha maisha ya hali ya juu na hakuna hata mmoja...
Unamaanisha kuwa hata CHADEMA na CUFna vyenginewe wakifanya uchaguzi Usalama wa Taifa unapitia kuthibitisha sifa za waombaji?. Kwa mujibu wa Masauni jina lake lilifanyiwa uchunguzi na vyombo vya usalama wa Taifa na hivyo Mnyika kwa mfano itabidi jina lake liwasilishwe Usalama wa Taifa ili...
Watanzania wenzangu nimekuwa nikitafakari sana jinsi Muungano wetu usivyo na USAWA kati ya washiriki wawili wa Muungano huu.
Kuna mambo mengi yasioleta usawa katika Muungano huu na mojawapo ni kupewa upendeleo sehemu moja kuwa na Serikali inayojitegemea na upande mwengine kunyimwa BARAKA...
Wanafunzi sita, mwalimu wanaswa kughushi vyeti Send to a friend
Sunday, 16 May 2010 21:20
0
diggs
digg
Mkinga Mkinga
WATAHINIWA sita wa mtihani wa ualimu Daraja A, wamekamatwa kwa tuhuma za kughushi vyeti vya kidato cha nne na huenda wakapandishwa kizimbani leo.
Uchunguzi...
Christians lose the battle for Sarah Obamas soul
Share Bookmark Print Email Email this article to a friend
Friend's Email Address
Your Email
Message
Submit Cancel
Rating
The Kenyan relatives of US President Barack Obama (from right), Norah Otieno, Consolata...
Jee mmelifikisha wapi Taifa kwa hayo madarasa matupu? Elimu ingekuwa ya manufaa kama mwananchi angekuwa anagomboka lakini elimu ya kujitia kwenye siasa na NGO za kuomba misada. Tunahitaji elimu ya kweli lakini hadi saasa tusiwabeze waliotufikisha angalau hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.