Uko sahihi mkuu na hicho ndio nilichokiona, na ndio nikasema kuondoa kwao si kuwahurumia wananchi ila kuogopa kuunganisha nguvu za watu wa kuwapinga. Na ndio nikasema kodi ingeendelea kuwepo basi ingesaidia kuwaondoa hawa watawala wala kodi.
Nakubali sana kwamba zitakuwa na maumivu kidogo,na hazitashinda maumivu ambayo tunayapata kwa kodi zengine, Ila hizi za sim zigekuwa zinalipwa na karibu kila mwananchi,kwakuwa watumiaji wa sim ni watu wa aina zote. Kwa sasa kodi zinalipwa na matabaka mawili tu ya mijini, 1.wafanya biashara...
Wanajmii,...
Kodi za line ya sim zingesaidia sana kulikomboa hili taifa kutoka kwenye muelekeo uliopo na kulipeleka katika muelekeo sahihi, kwakuwa ni mazoea yetu kuona kwamba hatuguswi moja kwa moja na kodi,inakuwa vigumu mtu kuona kodi yake inaliwa au inatumika sivyo
Tumeishi muda...
Mkuu uko sahihi sana,inawezekana kabisa wanaacha clue ili wafutiliwe. Pia polisi hawajawa na uzalendo huo wa kukamata ki dhati isipokuwa waamrishwe.
Hata hii video huyo mzungumzaji anaonekana anaangalia kushoto na kulia akikwepa direct eye contact na camera,maswala ya kujiuliza:
1, camera...
waheshimiwa, nafikiri itakuwa nimepitwa kama iliwahi kutolewa hapa.hivi huu mpango tunaosikia kuhusu kujengwa upya kigamboni, na wenyeji kuhamishwa,hatima yetu nini? maana hela zetu za misimu na mpaka sasa hata banda la uwani sijamaliza. na huenda vikangia vijisenti vingine ni busara kuendelea...
wewe bw kijana, unafaa, elim inatosha ujanja unatosha, ukoo uaofahamika kumbuka (sokomoko).angalia ile mafia documentary, wanajifanya wanatoa msaada vyandarua na uwanja wa mpira. sijui lakini mimi sijaona cha msingi pale. labda walichofanya ni kupata picha za video za kuwafanya waendelee...
Bw mzizi, ahsante kwa kutujuza mimi nilikuwa sinalo hilo,ila mafia mmbunge tuliyenaye ni mbumbumbu,ki upeo hata uwezo wa akili yake,analaghai kwa salam alykum na kujifanya muungwana. sasa maji yale pale hayatoshi hospitali, hayatoshi majengo wala kurungeni na msitu ndio huo tu unaotegemewa...
kweli sana mkuu inatia hofu kila kitu wawekezaji.kuna khatari tukafikia mahala tukaaachia wake zetu kwa wawekezaji wawekeze ili wazaliwe watoto bora. na sijui kama haijaanza hiyo kwa viongozi wetu kuachia wake zao kwa wageni ili wawekeze mbegu bora.
muheshimiwa,kuwa na uhakika na dunia uliyopo labda zungumzia mjiuliopo, container size ni 20ft,40ft, 45ft,48ft,na 53ft.hivyo ndo viwango vinavyotumika.sasa zungumzia mji wako usikanushe jambo ki dunia kama hulijui.
mkuu sikupingi ila nadhani umechanganya majina. hiyo uliyo itafsiri kama shubiri, aloe vera huo ni mti mwengine kwa kiswahili unaitwa kizima mlio,na hiyo haba soda umesema black cummin la sio hiyo ni black seed. black cummin na black seed ni vitu 2 tofauti.ila sifaham shubiri kwa kizungu inaitwaje.
kilicho mliza huyo dada ni kujikweza kwa wenyeji wake na aloyakuta mvunguni kwa wenyeji wake,kuanzia airport waliompokea,mpaka kwenye mitindo viingilio,mke wa raisi alivokaa nae na kujisifia zahabu zangu hizi unazoziona mr raisi kaninulia india dola milioni, na lipotembelea hao masikini ndio...
kama ulibadilisha plug na bado tatizo lipo badilisha waya za plug,kama litakuwepo badilisha air senser,kama bado tatizo lipo inabidi uipeleke kwa dealer kuna kitu kinaitwa crank sensor,usije ukajaribu kubadilisha mtaani bora kwa dealer wao watapima na computer,maana kwa gari hizo crank sensor...
sasa hivi atatulia maana waandishi duniani wanamuwinda ajibu mswali yao.pinda kaulizwa anacheka,hapo hapo hapo anataka kupiga mzinga wa magari ya polisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.