Unajiita kabisa Doctor MD afu unaandika utumbo kama huu,then Msukuma asiwatukane,wewe nae ni mmoja wao[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Nahisi umeandika haraka mno,hizo 40 hadi 50 ni UNITS ama nini na kama ni UNITS basi unazidisha mara 1900 ndio bei ya UNIT moja kwa mamlaka za miji mingi nchini,so kama UNITS ni 40 basi unazidisha mara 1900 ndio unapata jibu la bill unayotakiwa kulipa ambayo kwa hapo ukitumia kipimo cha UNITS 40...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.