Habari wadau,
Naomba kujua ni kipimo gani kinafanywa kugundua tatizo la appendix/kidole tumbo. Na gharama yake.
Gharama za upasuaji
Na hospital ipi ni nzuri kwa mkoa wa Arusha kutibiwa tatizo hilo
mi nimeuliza ili nifahamishwe sababu kila wakati nakutana nayo. . we unajibu bila kufikilia.Kama uelewi kaa kimya. sio lazima uchangie kila kinachotumwa. tumia akili..watakuja wanaofahamu au kujua watanielewesha.
nimepata taarifa za kuongezea mtoto huyo wa mtajwa hapo juu yani rafiki yangu..alizaliwa mara generally hospital. mama yake alikuwa nesi wa kambi ya ustawi wa jamii musoma. mama yake alikuwa muhaya
Habari wadau,
Nina rafiki yangu wa karibu sana,umri miaka 23 ni binti.Anamtafuta Baba yake mzazi aitwae Joseph Zacharia Kabuche.
Kwa mujibu wa taarifa alizopata kutoka kwa walezi wake ni kuwa baba yake huyo alikuwa mwenyeji wa mkoa wa Mara kabila alikuwa Mjita.
Mama wa huyo rafiki yangu...
habari wadau. simu yangu ghafla tu imekata network. pale kwenye network bar imeweka alama ya x. nimejaribu kusearch network inaniambia. error in searching network .. msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.