Nadau nimeingia kwenye uhusiano naye kama mwezi mmoja hivi lakini tayari sasa hivi anataka nimkopeshe pesa shilingi milioni mbili
Yeye ni mtumishi wa umma ila wasiwasi wangu nikimpatia hiyo pesa atarudisha kweli au ndio nitacheza karata tatu kuliwa maana ni mapema
Wale wazoefu waniambie...
Unapo Funga ndoa kumbuka unaunganisha familia au koo mbili yaani upande Wa mwanamke na wewe mwanaume na wakati mwingine kunatokea matatizo kwenye izo famalia yaani matatizo ya kifedha asikwambie MTU Mke gori kipa afai ata kidogo Kwa wakati huu tulionao lazima umtafute Mke Mfanya kazi mwisho Wa...
Kwa fasta fasta inaonesha wewe unalelewa na huyo mama Wa huyo binti sasa wewe kama unataka kufukuzwa wewe Fanya nae mpenzi huyo mtoto uone kama ujafukuzwa hapo unapolelewa na maisha Kwako yatakua magumu sana pindi akigundua mama yake unatembea nae mtoto wake
jeshi la polisi linatakiwa lifanyiwe mabadiliko ya kiutendaji utakuta marapisi ocd occid oss wapo tu ofisini na kulala majumbani kwao itatakiwa wasilale doria wakati wote hii itasaidia lingine mtu akibainika jambazi na ushaidi wa siraha upo basi asipelekwe mahakamani dawa ni kuwaua tu kamata...
mbona watu wengi wanauguliwa na wanajibu hoja zito zambi ya usaliti itakutafuna adi mwisho na ndio maana ukamwalika mkuu wa kaya aje kumjulia hali bi mkubwa wako wewe ni mwizi kama kile chama kinacho kutumia kuuwa upinzani nchini
kwa mwendo huu awataweza kama chemba la mavi alishindwa kwenye ugaidi na kudai anaweza kutoa ushaidi ata mbinguni mpaka sasa kara mitini kinana nae ile ishu ya pembe za ndovu itaendelea kumuathili kisaikolojia miaka nenda miaka rudi
old model iyo haina ishu sasa ivi zimetoka new bhana la msingi fanya la kusanya abiria upate pesa uje nikuuzie kiwanja ninavyo vinne kimaja nauza kipo maeneo ya pugu maana ulikimbilia gari kabla ya kiwanja anunui mtu kwa bei hiyo ndio maana umeleta uko sio sehemu yake ulivyo changanyikiwa uku ni...
pr gani ajui ata sheria za mawasiliano eti anajitetea ile namba ya simu line niligawa muda mrefu huu si upimbi pro wajitetea ivo kwel huyu sio pro huyu ni mbakaji sheria ya mawasiliano uwezi kumpa mtu line yako ya simu bila ya kutoa taarifa kwa kampuni usika ya simu ili wabadilishe jina la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.