Zizuu
Senior Member
- Apr 17, 2013
- 136
- 28
Nadau nimeingia kwenye uhusiano naye kama mwezi mmoja hivi lakini tayari sasa hivi anataka nimkopeshe pesa shilingi milioni mbili
Yeye ni mtumishi wa umma ila wasiwasi wangu nikimpatia hiyo pesa atarudisha kweli au ndio nitacheza karata tatu kuliwa maana ni mapema
Wale wazoefu waniambie nikitoa hii pesa atarudisha kweli?
Yeye ni mtumishi wa umma ila wasiwasi wangu nikimpatia hiyo pesa atarudisha kweli au ndio nitacheza karata tatu kuliwa maana ni mapema
Wale wazoefu waniambie nikitoa hii pesa atarudisha kweli?