Tanesco Mbeya
Mimi naishi Ilomba mtaa wa ituha saiv Kuna tatizo la umeme ni week saiv hatuna umeme mchana Wala usiku tunaomba msaada wenu na biashara haziendi kabisaa nimepiga sana cm haipokelewi 0762478938
Namba ya taarifa niliipata jumatano usiku baada ya kupiga simu kwa muda mrefu nlipojaribu usiku ndo ikapokelewa ila tangia nmepewa hyo no nikpiga simu kuwakumbusha haipokelewi na wakat mwingine haipatikani kabisa.
No yenyew hii +255252504219
Mkoa wa mbeya simu hazipokelew napiga simu had nachoka. Umeme hauwak nyumban siku ya tano leo lakini kwa majirani ambao tunatumia nguzo moja unawaka, pia unit zipo na socket breaker ipo vizur nahitaji msaada wa haraka leo siku ya tano bila umeme
JINA ATU TETE
ENEO ISYESYE KARIBU NA MWAKASOLE...
Nataka nifanye biashara hii nahitaji kujifunza kutoka kwako ni wap pa kuchukua mZigo na jinsi ya kutafuta soko nipo mbeya pia nitashukuru iwapo utanipa support
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.