Hapo nimeoa ni makomando, hebu jaribu kucheki na makomando wa wenzetu, nadhani nao watakuwa hivyo hivyo.
Kuhusu suala la silaha bora, shidani serikali yetu, elimu duni, pesa wananunulia mavieite.
Ungeoa wake wawili halafu ndio ungejua.
Ulale na mama mwajuma, anataka ukuni, halafu kidawa hana mpango na yupo kwenye siku zake, umejiuliza hilo?
Sawa uwagonge wote, si vema wao kutizamana maumbile yao, haipendezi, wanawake wenye akili zao timamu hawawezi kubali.
Mnazi uliokomaq vizuri, unaweza kuvuna kila baada ya miezi mi3 we unavuna zile kavu kabisa, zilizokomaa vizuri saaana(kavu, hii mara nyingi ukiifua huwa na rangi kama ya kahawia isiyokoza au tuite brown ) unaacha zile ambazo hazijakomaa vizuri(mkwezi mzuri kule juu anajua hii imekomaa(kavu) na...
Kabla ya kumkata makofi huenda talaka ikawa imeanza, sitamani tufikie hatua ya kutwangana. Yes kuna maudhi fulan huwa yanatokea, una gadhibika, dawa mie huwa ni kuondoka tu eneo hilo.
Niliwahi mpiga girlfriend sababu ilikuwa kanikera nataka nitoke na akanizuia, hakuna kutoka😂
Uzuri mke wangu...
Janabi ni NDEZI, nilsikia eti juice sijui kimeenda kumerudi.
Mie nasoma vitu mbalimbali kisha nairuhusu akili yangu ifanye kazi.
Mie juice nagonga kama kawa kama dawa.
Sina shida ya yeye kama anachapa kazi, ila hakuna haja ya kusaka "cheap popularity" mara afanye kazi mbele ya kamera, kazi zake njema zitajitangaza haina haja kutangaza tangaza
Mtaharibu biashara zao za mafuta, na soon wakiona sote tushakimbilia huko, gesi nayo bei itapanda, tozo za ajabu ajabu, mtaambiwa vita ya urusi na ukraine ni sababu.
Nikienda zanzibar nikabeba hata tv tu ya zawadi bandarini mtihani, nivushe gari ndio mama yangu wee tabu tupu, lakini nikienda dodoma hapo au kule kigoma sipati tabu, raha ya muungano iwapi?
Wengine wanadai mbara huwezi kumiliki ardhi kule kizembe kama tunavyojinunulia huku, dar una kibanda...
Ndio NILIVYOKUWA. Zamani huko.
Siku hizi sina hizo mambo kabisa, mama watoto kaishaniweka wenye chupa, sina makali.😂🤣 Wanawake wengine woote naona ni mama na dada zangu 😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.