Usihangaike kujenga agiza nje utapokea kwa bei poa .
Nyumba kama hiyo ukiagiza haiwezi kuvuka milioni kumi ikiwa full
ingia albaba utaona kuna kampuni nyingi sana wanauza nyumba kama hizo unaagiza na wewe una fanya installation tu.
kwa Dunia ya sasa nchi za wenzetu hayo ni mambo ya kawaida...
Umenena ukweli tupu kwa sababu unamkuta mwalimu wa chemistry anafundisha electrolysis lakini hajui hata kutengeneza battery kwa kutumia local mateals kama chumvi na electrode alizo nazo
Brother unavyo itamka milioni kumi na tano unaitamka kama pesa ndogo sana shida ipo kwenye kuikusanya mpaka ifike hiyo milioni kumi na tano.
Pili kuna dogo mmoja nimesoma naye shule moja ya msingi maalufu kama Rickius Babylon, baake alikua mwalimu wa shule ya msingi.
Tulipotezana siku nyingi...
Nenda kwa tahadhali sana mkuu miongoni mwa miji iliyo jaa wafanya biashara matapeli na washamba wanao jiona wajanja ni pamoja na Katoro.
Ukanda ule elimu kwa sababu ilichelewa kufika sana watu wengi sana katika biashara yao wanaamini sana katika ushirikina na sio kuboresha biashara.
Ni kweli ni...
Ukitazama kwa juu juu bila kutafakari unaweza ukkahisi ni upigaji kama unavyo sema lakinj katika hali halisi tafakali mambo yafuatayo;
Mwanao anaondoka nyumbani saa kumi na mbili na nusu asubuhi kwenda shuleni ambako atakaa mpaka saa kumi na nusu jioni akisoma wakati huo hajanywa hata chai wala...
Naamini kuna kazi unayo fanya na inaakuingizia kipato chako halali hata sisi pia tunafanya kazi hii ya ualimu na tunalipwa hiki kiasi unacho kiita kidogo, pamoja na udogo wa kiasi hiki tunaendesha maisha vizuri tuna familia zinatutegemea, tunasomesha watoto na tunasaidia ndugu zetu .
Kama Mungu...
Nikukumbushe tu kua sio umbali wa kilometer milioni ni umbali wa kilometer nusu bilioni.
Ingetokea jupiter ikaisogelea dunia kwa umbali wa kilometer milioni moja utaina ikiwa kubwa sana kuliko kitu kingine chochote angani hata kuliko mwezi.
Kumbuka kutoka duniani kwenda kwenye mwezi ni wastani...
Umeongea mambo ya msingi boss Kuna watu tumeamua kuacha familia kwa sababu ya mwanamke kufanikiwa kuwa na kipato kikubwa na kujitanua kwapa
Japo wanawake wengi wasio kua na heshima katika ndoa zao akiisha achika akaolewa tena familia mpya wanazo jenga hata paka kamwe hakanyagi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.