Kama unajitafuta nje ya Dar es salaam, sahau kuhusu utajiri

Ahsante kwa kuendelea kuficha Fulsa ya moka wa lindi sisi tulioshitukia chimbo mapema tunaendelea kutajirika, tunajenga majumba Dar, mnapanga ila hamjui wamiliki tunatoa wapi pesa.
 
Kwa akili zako ndogo unawaza kutafuta nikufungua duka nakuuza utakufa masikini hapo dar unapata pesa ya bia moja kwa siku inahs umetoboa.

Kuna watu dar mnauza miguu ya kuku na utumbo inatoka kwa speed mnahs mna biashara

Ushamfikiria mtu mkoa ambae ni contractor? Je mwenye kampuni yake ya mazao na anafanya kazi na akina Mo, bhakresa? Hivi biashara pale mwanza, morogoro wafanyabiashara hao wanazidiwa na watu wa dar?

Kasheku msukuma anaishi dar? Hardware, timber, min market kubwa mikoni watu wa dar wanazo na wanapata pesa kuzidi mkoa? Mliokuja dar ukubwana mna shida sana
Nimemwambia aende Kahama tu hapo!Atakuja kugundua Dar inawezekana ndo ina vijana wengi wasio jitambua na wenye kipato duni!
 
Kwa akili zako ndogo unawaza kutafuta nikufungua duka nakuuza utakufa masikini hapo dar unapata pesa ya bia moja kwa siku inahs umetoboa.

Kuna watu dar mnauza miguu ya kuku na utumbo inatoka kwa speed mnahs mna biashara

Ushamfikiria mtu mkoa ambae ni contractor? Je mwenye kampuni yake ya mazao na anafanya kazi na akina Mo, bhakresa? Hivi biashara pale mwanza, morogoro wafanyabiashara hao wanazidiwa na watu wa dar?

Kasheku msukuma anaishi dar? Hardware, timber, min market kubwa mikoni watu wa dar wanazo na wanapata pesa kuzidi mkoa? Mliokuja dar ukubwana mna shida sana
Upo sahihi kaja dar ukubwani akitokea mpunguzi Dodoma!!
 
Life ni popote penye fursa,ila dsm kinachowabeba ni population ili utoboe dsm pia lazima uwe na mtaji sio mchezo.
 
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo

Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia

Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam

Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.

Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Mwenzetu unayeishi Dar una nini?
 
Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo

Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia

Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam

Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.

Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Daslam unatakiwa kuja uko na age walau 45 hivi baada ya kutunisha kibunda na kujiweka sawa huko mkoani ,ila kwa maoni yangu Dsm ni mji wa kuingia kufanya mitkasi na kutoka ,base inakuwa mkoani
 
Dar utapata maisha gani
Labda uajiliwe kwenye vi Ngo
Pesa ziko mikoani
Mwanza, arusha, mbeya milion 200 kwa kijana mdogo ni kitu cha kawaida
Vijana wa dar hawana asset wala biashara unazani watafanya nin cha maana
Vijana wa dar konyagi moja wanakunywa watatu tena kwa mbinde sana pesa watatoa wapi
We jidanganye
 
Daslam unatakiwa kuja uko na age walau 45 hivi baada ya kutunisha kibunda na kujiweka sawa huko mkoani ,ila kwa maoni yangu Dsm ni mji wa kuingia kufanya mitkasi na kutoka ,base inakuwa mkoani
Umeongea point
Yaani unakuja kununua frame ya milion 50 kariakoo na kuweka mtaji milion 400
Kutanua biashara sio kuanza biashara
 
Katika pitapita zangu niliwahi kupita hapo katoro ebwana vijana under20 wana mijengo mikali sema wamekariri sikupenda wanavyojenga mabati yameenda juu mno gharama ya bati tu ni nyumba za tabata. Lakini pia mwanza nyumba niza kisasa sana kulinganisha na dar
Hahahaaa bati milion 27 huku tunashindana kupaua ndo uwanaume
 
Dar matajiri wengi utajiri wao wameutolea mikoani, wengine wamehamia baada ya kutoboa kimaisha.
Wewe ambae unategemea kuishi kwa ujanja ujanja kwa kigezo eti dar huwezi kulala njaa, utazeeka unatafutia tumbo lako na kujidai unamjua kila tajiri kwenye vijiwe vya kahawa

Jioni ikifika unaenda kuoga kwenye bafu lisilo na mlango unaweka Shuka mlangoni.
 
Back
Top Bottom