Chui mnyama
Member
- Apr 2, 2017
- 67
- 33
Ahsante kwa kuendelea kuficha Fulsa ya moka wa lindi sisi tulioshitukia chimbo mapema tunaendelea kutajirika, tunajenga majumba Dar, mnapanga ila hamjui wamiliki tunatoa wapi pesa.
Nimemwambia aende Kahama tu hapo!Atakuja kugundua Dar inawezekana ndo ina vijana wengi wasio jitambua na wenye kipato duni!Kwa akili zako ndogo unawaza kutafuta nikufungua duka nakuuza utakufa masikini hapo dar unapata pesa ya bia moja kwa siku inahs umetoboa.
Kuna watu dar mnauza miguu ya kuku na utumbo inatoka kwa speed mnahs mna biashara
Ushamfikiria mtu mkoa ambae ni contractor? Je mwenye kampuni yake ya mazao na anafanya kazi na akina Mo, bhakresa? Hivi biashara pale mwanza, morogoro wafanyabiashara hao wanazidiwa na watu wa dar?
Kasheku msukuma anaishi dar? Hardware, timber, min market kubwa mikoni watu wa dar wanazo na wanapata pesa kuzidi mkoa? Mliokuja dar ukubwana mna shida sana
Waalimu hamtakiwi kua na maliSisi walimu inabidi tuhamie dar Sasa
Acha uwoga wa maisha unaendekeza kula ugali mkubwa mwaka mzima na matembele uliyolimaDar mnaishi km nguruwe,mama na baba na watt chumba kimoja.....mkoan haipo hiyo
Waliokuja dar juzi kwa mbio za mwenge mzeeNimemwambia aende Kahama tu hapo!Atakuja kugundua Dar inawezekana ndo ina vijana wengi wasio jitambua na wenye kipato duni!
Upo sahihi kaja dar ukubwani akitokea mpunguzi Dodoma!!Kwa akili zako ndogo unawaza kutafuta nikufungua duka nakuuza utakufa masikini hapo dar unapata pesa ya bia moja kwa siku inahs umetoboa.
Kuna watu dar mnauza miguu ya kuku na utumbo inatoka kwa speed mnahs mna biashara
Ushamfikiria mtu mkoa ambae ni contractor? Je mwenye kampuni yake ya mazao na anafanya kazi na akina Mo, bhakresa? Hivi biashara pale mwanza, morogoro wafanyabiashara hao wanazidiwa na watu wa dar?
Kasheku msukuma anaishi dar? Hardware, timber, min market kubwa mikoni watu wa dar wanazo na wanapata pesa kuzidi mkoa? Mliokuja dar ukubwana mna shida sana
Uli muhonje..mwene kwenyu kusina wawaha.?? Kodo dyakoAle solowenyu nyenye
Mwenzetu unayeishi Dar una nini?Huu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia
Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Daslam unatakiwa kuja uko na age walau 45 hivi baada ya kutunisha kibunda na kujiweka sawa huko mkoani ,ila kwa maoni yangu Dsm ni mji wa kuingia kufanya mitkasi na kutoka ,base inakuwa mkoaniHuu ndo ukweli vijana wenzangu ambao mnapambana kucha kutwa kutafuta unafuu wa maisha ndani ya bongo hii ila mkiwa nje ya mkoa wa dar Es salaam ahsee Kuja kutoboa sio simpo kihivyo
Sio kwamba hakuna waliotoboa ila walifanikiwa Kwa kuchelewa huku wakiwa wamechoka Sanaa, ukiwa kijana wa Sasa kizazi kipya inabidi akili yako iwe very smart inayoendana na ushindani na ubunifu wa kisayansi au teknolojia
Ndani ya jiji la dar Es salaam population rate inakupa nguvu ya kutafuta maana wateja ni watu huwez kwenda kutafuta lindi kwenye watu wachache waliofulia unaacha mji wa kibiashara kama dar Es salaam
Vijana tupambane kuukataa umasikini, maisha ya sasa niyakukimbizana vibaya mno yaani, tumia akili kutafuta sio nguvu.
Mwisho kabisa fanya kazi zote ila sio Ile ya halmashauri
Umeongea pointDaslam unatakiwa kuja uko na age walau 45 hivi baada ya kutunisha kibunda na kujiweka sawa huko mkoani ,ila kwa maoni yangu Dsm ni mji wa kuingia kufanya mitkasi na kutoka ,base inakuwa mkoani
Amesema msifanye kazi za halmashauri, na walimu wengi wako chini ya halmashauri sa sijui itakuaje.Sisi walimu inabidi tuhamie dar Sasa
Hahahaaa bati milion 27 huku tunashindana kupaua ndo uwanaumeKatika pitapita zangu niliwahi kupita hapo katoro ebwana vijana under20 wana mijengo mikali sema wamekariri sikupenda wanavyojenga mabati yameenda juu mno gharama ya bati tu ni nyumba za tabata. Lakini pia mwanza nyumba niza kisasa sana kulinganisha na dar
Na ikifika hatua mwanaume kutamani kuwa mwanamke basi mtu huyo ana shida kichwaniIla kuna watu wana nyota ya kukubalika humu jukwaani. Mmojawapo ni Mpwayungu.
Huyu jamaa huwa analeta nyuzi za kutamani yeye kuwa mwanamke, watu wanamchana, baadae inasahaulika anavuta kasi tena na nyuzi zingine.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Uchuuzi maana yake nini?Thread closed 'UKISIKIA MTU ANAZUNGUMZIA FURSA DASLAM, BASI UJUE HUO NI UCHUUZI'