Sifa kuu ya mwanamke awe submissive sina maana ya kuwa zoba eti kila anachoambiwa aseme Yes, but awe msikivu ,mpole mwenye kuheshimu mume, sasa hayo wasomi wengi hawawezi wanafikiri kumtii mume ni kunyanyasika! Wengi wao kila kitu anajifanya ujuaji , ubishi, sasa nani aoe mtu wa hivyoo! Raha ya...
Isijizungushe ktk muhimili wake na wala isizunguke jua yani rotation na revolution vyote visimame kwa pamoja je sisi binadamu tutadondokea wapi?? Juu chini au wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza Hongera kwa kuwa Baba mtarajiwa pili mwambie mchumba wako ukweli na umwombe msamaha.hakuna short cut katika maisha
Maisha yetu ni matokeo ya matendo yetu... so komaa jiandae kumlea mtoto
Jamani tuongee yote lakini chanzo kikubwa ni pesaa ktk ukoo au familia ndugu wenye pesa huwatenga ambao hawana pesa. Wenye pesa watapigiana simu, watatembeleana, watasolve matatizo yao... lakini kama huna kitu hakuna wa kukutafuta wala kukujulia hali zaidi jambo la familia linaweza kutokea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.