Jana nilikwenda kula idd huko mkoa wa pwani vijijini nimekuta nyumba imechoka lakini ina umeme,cha ajabu jamaa kaingia mitini kaicha nyumba kakimbia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribuni kupata maelezo ya kina,transfomer zinazotengenezwa hapa ni za ukubwa gani?ni hizo ambazo tanesco wameagiza ni za ukubwa gani ndio muanze kuongea,kama hauna data ni bora kukaa kimya
Nafikiri serikali engaanza kutoa hati za nyumba bure,hapo watapata picha idadi ya wamiliki halali then wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mtaa washirikishwe hapo tutakwenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.