Nimeona clip aliyomchukuwa mama mmoja ambaye alishawahi hojiwa na Millard Ayo-akijitambulisha kama chalii ya R. Leo ameibuka hai kama mlalamikaji, kadhulumiwa samba.
Duh! Ndugu yangu sisi ni weusi kama ww , hizi dini zimeletwa na waarabu na wazungu . Tudumishe yale yanayofaa kwa kuwa mimi na wewe ni wamoja ,usinitenge kwasababu mimi ni mkristo na wewe ni mwisilamu . Bado nakulilia ndugu yangu wazungu na waarabu waliotuletea hizi dini si ndugu zetu . Tafakari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.