Labda ni mimi, nilimaliza Galanosi 1978 nikajiunga na Jeshi bahati mbaya nikapangiwa course ya Radar Engineering pale chuo cha ulinzi wa anga nikamaliza 1982, nikawa natembelea sana pale Galanos maana pale Dispensary walikuwepo watoto wa waganga wa dispensary duh. Mzee Hiza nk
Lowasa Raisi 2015, mimi kwa upeo wangu sioni kabisa mtu anayefaa kulipeleka hili gurudumu tena kwa speed 180 per hour.Tulitembea 50 per hour kwa muda mrefu sana sasa muda umefika tupate mtu atakaye tupeleka peleka kwa style ya mzee Mrema enzi zile au marehemu Edward Sokoine nchi ilinyooka basi...
ni kweli serikali 3 ndio mpango mzima, hasa hasa hasa Tanganyika kwa nini CCM hawaipendi???? DR.Lwaitama ndio matunda ya Tanganyika, wale wote wanaoshabikia serikali mbili ni uzao wa Tanzania
Joel Humphrey unatakuwa una matatizo ya kudumu na EL siku akichukua nchi wewe na mataahira wenzako mtakuwa wa kwanza kukimbia nchi.Hapa jamii forum watu wanachangia lkn wewe unagombana. Eti unaita wenzio mijitu wewe ni nani kama sio jitu???Anglia kitu ulichoweka hapo kama picha yako na mawazo...
Miongoni mwa wabunge la katiba atakaye haribu utaratibu wa kupata katiba mpya ni Mh. Ole s.....ka, uchangiaji wake ni wa kibabe babe, siku ya kwanza kabisa alizungumzia uraia wa mmbunge wa chadema, sasa aliyemchagua kuingia bungeni hana akili na pale walikwenda kuchangia uraia wa mtu au ukabila...
Sokoine na Lowasa wanafanana vitu vitatu na utatu upo popote hata kiroho na hata kimwili
1. Majina yao ya mwanzo yanafanana
2. Wote ni kabila moja, Wamasai
3. Wote ni wachapakazi wenye mfano wa kuigwa na wengine
Upende au usipende huo ndio ukweli
Sokoine na Lowasa wanafanana vitu vitatu na utatu upo popote hata kiroho na hata kimwili
1. Majina yao ya mwanzo yanafanana
2. Wote ni kabila moja, Wamasai
3. Wote ni wachapakazi wenye mfano wa kuigwa na wengine
Upende au usipende huo ndio ukweli
Kama naota ndoto leo ni tarehe 31/10/2015 pale uwanja wa UHURU kukiwa kumefurika watu, bendi ya Capt Komba ikitumbuiza, inaashiria mgombea wa thi thi emu ndio mshindi. Juu la jukwaa kuu kwa mbali (mimi niko mbali) namuona Raisi wa sasa anatabasamu na anapiga makofi na kucheza taratibu kulingana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.