Asante sana Molemo Media kwa kuwa tayari kutuhabarisha
Asante sana Mwenyekiti Mbowe FA kwa hekima na ustahimilivu wako wa kupigania UHURU wa kweli wa mtanzania
Karibu sana wakili msomi na mwanaharakati wa kweli, muafrika wa kweli, ndugu yetu Tundu AL
NJOO TUPAMBANE mpaka Tanzania na...
Pata andiko tamu kabisa toka kwa nguli, mwanazuoni na msomi Prof Issa Shivji akichambua utawala wa Magufuli na siasa za Tanzania.
Article/Andisho limeambatanishwa.
===
Tanzania: The Dialectics of Maguphilia and Maguphobia
Hopefully, the Magufuli...
Hii ndio shida ya kuvimbiwa pilau la pasaka. Matokeo yake ni mouth diarrhoea kama afanyavyo huyu Lizaboni na uzi wako uliokosa mashiko kimantiki. Siasa uchwara za kikabila na ukanda na udini hazifuo dafu na chama lenu linajua hilo.
Hatuna haja ya kujadili ukabili, dini au ukanda atokako mtu...
Mmefanya kazi nzuri sana Malisa Godlisten na hakika kazi yenu haitaenda bure. Watanzani tupo nyuma yenu na haki ya mtu haiwezi potea no matter how long it takes
Good evening Colleagues.
As I remain temporarily without access to all of TLS and Chapter telegram and other social media groups, I request you to circulate this message widely, especially to all lawyers groups.
JUDGE CANDIDATES BY THEIR DEEDS, NOT WORDS ALONE
Statement by Hon. Tundu A.M...
Mkuu MTOTO YATIMA vipi mpaka sasa umefanikiwa kupata taarifa kiasi gani? Mathalan aina ya mbegu ifaanyo kwa maeneo ya kiteto. Mwezi huu wa 12 ntatia timu huko kiteto kupiga kazi. Tutafutane mkuu
Kiukweli
Lazima sisi sote bila kujali itikadi zetu za siasa au ushabiki wa aina yeyote ule tumkanye kwa nguvu zote mtu au taasisi yeyote yule anayejaribu kupoka uhuru na demokrasia ktk nchi yetu.
You are very right mkuu. Kwa kifupi huyu jamaa yete hajaelewa vizuri hiyo biashara ya bond 2a NMB.
out of common sense bank hai wezi Kukupa riba ya 156% per annum ilhali yenyewe haiwezi tengeneza hizopesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.