Guys,government procurements takes longer than you can imagine. Kwa mfano toka wametangaza tenda ya vitambulisho vya uraia mpaka sasa umepita muda gani? Suala la ndege za kijeshi lipo,ila kikwete alipoingia alikuwa victim wa hiyo contract.
Once you enter the contract you have to abide by the...
Mzee yule ameongea jana mpaka nimelia wadau.Amenikumbusha waathirika wa ukimwi wanavyofuata dawa katika hospitali ambazo ziko katika umbali zaidi wa maili ishirini.
Amenikumbusha wadogo zangu ambao wanasoma kwenye shule za kata ambazo hazina walimu, maabara, vitabu (kwa maana nyingine wapo...
Kama kweli Mkulu wa nchi amfanya kale kamchezo ni hatari. Mimi siamini sana,lakini kama ni kweli ni fedheha si kwa yeye tu, hata kwa watanzania wote.
Ni aibu kubwa tutaficha wapi macho yetu? Mtu aliyepost ile picha tunaomba awe na uhakika na alichopost kwani kama si kweli ni hatari sana wakuu.
Kawataja kama mafisadi papa. Anasema watu wanaolisunbua taifa hili wako kumi lakini mapapa kabisa wako watano wakiwemo Rostam, Jeetu, Manji, Subash na mwingine mmoja.
Aliulizwa kama haogopi kushitakiwa? Akajibu kuwa waende mahakamani kwani mahakama zipo kutoa haki kwa watu. Akasema waende ili...
Nzega Golden Pride mine robbed of gold worth $3m
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
POLICE have confirmed they are investigating reports of an armed robbery incident at the Golden Pride Gold Mine Nzega, Tabora Region, in which gold bullion worth an estimated $3m (approx. 4bn/-) is said to...
Hoja nzuri lakini presenter anakosa focus. Issue ni kuwa hawana sifa au ni wakatoliki. Maana siamini kama wote waliochukuliwa ni wakatoliki kwani St. Augustine inachukua watu wa dini zote. Pia siamini kama watu wenye sifa wapo St. Augustine tu.
Inawezekana pale wakubwa walikuwa na mtu wao...
Mzindakaya kazi kweli kweli. Jamaa alikuwa mkulima mzuri kweli kweli kule kwetu Sumbawanga. Unajua nyama ya mtu tamu sana,ukionja huwezi kuacha. Ameonja ufisadi huyo,alikuwa analipua mabomu ya ukweli sana ila sasa kila bomu analolipua kuna conflict of interest nyuma yake.
Angalia issue ya...
AHMADINEJAD pia ni mbaguzi sana kama tukisimamia ukweli. Kama uliisikiliza speech yake jana na huna bias,utakubaliana na mimi. Waisrael ni kweli wanawaua wapalestina kama wapalestina wanavyowaua waisraeli. Kwa hiyo wanauana,cha muhimu mataifa mengine kama kweli tunataka kusaidia tusichague...
Ninavyojua mimi, Makamu wa Rais ana bajeti yake ya ziara kutoka ofisini kwake. Watu anaoambatana nao pia wana perdiem zao kulingana na vyeo vyao. Makamu wa Rais anapewa perdiem,lakini kutokana na wadhifa alionao,gharama zake za malazi na chakula ofisi yake inagharamia. Watumishi wengine...
Moderators please angalieni watu kama hawa,wanaleta hoja ambazo ni za vikao vya harusi wakihusisha na bodies zenye interest za watanzania wote. Huyu bwana sijajua nia yake ilikuwa ni nini,maana kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe. Mfano ATCL inahusika vipi hapo? Hayo ni mambo binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.