mmea wa aloe vera umekua ukitumika kwa miaka mingi kama tiba na kinga kwa binadam na mifugo.
Hali iyo ilipelekea shirika la US National Library of
Medicine,pamoja na vet world,kufanya utafiti katika mmea huu pamoja na majaribio yale kua na majibu mazuri zaidi.
Utafiti huo ulifanyiwa majaribio...
Zifahamu haki zako za msingi kabla hujakamatwa na police,
Polisi atapokuambia upo chini ya ulinzi, unahaki ya kumwambia usinizingue.
Police atapo kupiga kibao,unahaki ya kumpiga dumi,mateke nk.
Kufikia kumpiga police atakua na haki ya kikatiba na sheria kukuvunja mbav n.k tii bila shurt
mkoa wa arusha umekua chimbuko la lugha mbili maarufu moja ikiwa ni Arachuga, na nyingine ikiwa ni kisharua ambayo maneno ya kiswahili zanasomeka toka kulia kurudi kushoto mfano *jamiiforum hutamkwa mrufomija, pesa ; sape. Mara nying lugha hi wanaitumia watu waarusha na kidogo ningumu kuelewa...
Club ya Chelsea imekumbana na adhabu ya kutokufanya uamisho wa wachezaji kwa miaka miwili na shirikisho la soka duniani FIFA,Adhabu iyo inakuja baada ya chelsea kufanya usajili wa mchezaji Bertrand Traore raia Bukina faso akiwa na umri wa miaka chini ya miaka 18,ambae kwa sasa anacheze club ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.