Club ya chelsea yafungiwa miaka miwili na fifa

Jan 1, 2013
23
21
Club ya Chelsea imekumbana na adhabu ya kutokufanya uamisho wa wachezaji kwa miaka miwili na shirikisho la soka duniani FIFA,Adhabu iyo inakuja baada ya chelsea kufanya usajili wa mchezaji Bertrand Traore raia Bukina faso akiwa na umri wa miaka chini ya miaka 18,ambae kwa sasa anacheze club ya lyon ya ufaransa.
 
mtoa mada acha kupotosha.
chelsea ipo chini ya uchunguzi wa fifa na bado hawajafungiwa kusajili/kuuza mpaka uchunguzi utakapo malizika.
 
Back
Top Bottom