shirima-wa-pili
Member
- Jan 1, 2013
- 23
- 21
Club ya Chelsea imekumbana na adhabu ya kutokufanya uamisho wa wachezaji kwa miaka miwili na shirikisho la soka duniani FIFA,Adhabu iyo inakuja baada ya chelsea kufanya usajili wa mchezaji Bertrand Traore raia Bukina faso akiwa na umri wa miaka chini ya miaka 18,ambae kwa sasa anacheze club ya lyon ya ufaransa.