BABA AKO AMEKUDANGANYA.FIKRA ZAKE FUPI SANA.
JESHI NI SPIRIT.KM HUNA SPIRIT HUWEZ HATA KIDOGO KU SURVIVE MAFUNZO YA KIJESHI.
KUHUSU KUFUNZWA KUUA, HAKUNA COARSE,INAYOFUNZA WATU KUUA.
KUHUSU SUALA LA ELIMU,MAISHA YAMEBADILIKA SANA.JESHI LIMEBADILIKA PIA.WATU WANA PHDS,MASTERS,NA...
zitto ni maarufu kuliko CDM
wala huitaji ufundishwe darasani hili.
Fanya simple research tu
utagundua hilo.
No Zitto,No CDM yenye uwezo wa kujenga hoja
Habari za muda huu wadau wa JF.
Nimepata taarifa za ndani kabisa,za kuhusu kujiunga na JKT kwa wale wanaotaka,
Habari za chini ya Carpet nilizozithibitisha kutoka chanzo cha ndani cha habari, zimebainisha kuwa
Nafasi za Wanaotaka Kujiunga na JKT zitatangazwa Tarehe 23 na 24 kwa baadhi...
maadili ni nini?
Maadili ya Mtanzania ni yapi?
Maadili hayo Yameandikwa au kuelezewa wapi?
Yalipitishwa na nani? Lini na wapi?
Kuhusu kuvaa ni swala binafsi. Serikari km haimpangii Mwananchi wake,namna ya kununua mavazi, haimpi pesa ya kununua mavazi, kamwe haiwezi kumpangia mtu kuvaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.