Search results

  1. N

    Msaada_wanawake wa kibena-iringa.

    kama ni mke hapo utakuwa umepata wa nguvu
  2. N

    Msaada kituo kizuri cha Stress Counseling Dar es salaam

    Nashukuru sana kwa kunijuza wapi nitapata huduma hii, nimekuwa nikiitafuta kwa muda mrefu sana.
  3. N

    Huyu Kalishwa Limbwata

    Hapo mbona hakuna tatizo, ni mambo ya kawaida tu
  4. N

    Lusinde kweli kichaka

    Tuachane naye huyu, nafikiri hajui wala hakumbuki hata alichokiongea. Kwa kweli amenishangaza sana
  5. N

    Mhasibu anamiliki billion 150 benki-Dira ya Mtanzania

    Watu bwana, kwa vile kazuia ulaji wao basi wanatafuta mahali pa kumchafua mtu. Hayawasubiri ili wapate majibu ya hicho walichokibeep
  6. N

    Maxence Melo [JF Founder] HEARTFELT CONGRATULATIONS to you

    Hongera sana Mkuu, Mungu awajalie na kuwapa maisha yenye furaha na amani na watoto wenu
  7. N

    Hapa ni wapi?

    Hapo ni njombe makambako
  8. N

    Toyota Premio-Nzuri sana

    ina cc ngapi?
  9. N

    Bima ya afya kwa nini wanafanya hivi?

    Huenda mwajiri wako hajazifikisha fomu zako ofisi za NHIF. Lakini zikishafika pale hata hazichukui muda unapata. Nami nilipata tatizo hilo nilipoenda ofisini kwao wakasema fomu zangu hazijafika ikabidi nitoke na mtu wa NHIF mpaka ofisini kwangu na kweli nikazikuta kule
  10. N

    Jk bwana huwa ananifurahisha sana na mambo yake...

    si afadhali kama hata hiyo itaisha, kama hali ni hii afadhali hata mwaka huu kabla haujaisha aondoke
  11. N

    PICHA: Mafuriko yalikumba jiji la Dar es Salaam

    Huyu mama amechanganyikiwa anatakiwa akapimwe akili, Pia inabidi mheshemiwa anatakiwa kuangalia Uwezo wa kufikiiri kabla ya kuwateua wasidizi wake. Ndo maana mambo yanemwendea mrama.
  12. N

    Nchimbi kupata PhD

    Hongera sana Nchimbi
  13. N

    Mh. Zitto Kabwe apelekwa India kwa matibabu zaidi

    yeye india sie tutaenda wapi?
  14. N

    Je natimiza majukumu ya kuwa baba?

    ni jukumu moja tu ambalo hutimizi kwa mke wako, haki yake ya msingi
  15. N

    Wife

    imenifurahisha hapo kwenye after 5 years
  16. N

    Kasheshe la Mafuta: Dar kimeanza kuwaka, vituo kadhaa vyaanza kutoa mafuta!

    huo ndo ujinga uliotufikisha mpaka hapa kwa kuwa na mawazo kama ya kwako
  17. N

    Doctor bingwa wa mambo ya uzazi

    Nenda kwa prof mgaya pale Mbuyuni ni wa muhimbili anaclinic yake pale. Au nenda Tumaini Hospital umtafute Dr Kapona. Mungu akutangulie na kukupa unachoomba.
  18. N

    Nimekua msomaji hapa kwa muda ila nimetia timu kabisa

    Karibu sana, hapa ni kazi kwa kwenda mbele
Back
Top Bottom