Huenda mwajiri wako hajazifikisha fomu zako ofisi za NHIF. Lakini zikishafika pale hata hazichukui muda unapata. Nami nilipata tatizo hilo nilipoenda ofisini kwao wakasema fomu zangu hazijafika ikabidi nitoke na mtu wa NHIF mpaka ofisini kwangu na kweli nikazikuta kule
Huyu mama amechanganyikiwa anatakiwa akapimwe akili, Pia inabidi mheshemiwa anatakiwa kuangalia Uwezo wa kufikiiri kabla ya kuwateua wasidizi wake. Ndo maana mambo yanemwendea mrama.
Nenda kwa prof mgaya pale Mbuyuni ni wa muhimbili anaclinic yake pale. Au nenda Tumaini Hospital umtafute Dr Kapona. Mungu akutangulie na kukupa unachoomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.