Kuna shida kubwa sana kwenye ofisi ya NHIF kwenye mkoa wa mwanza.
1. Ofisi iko moja mkoa mzima, hivyo wateja wanalazimika kusafiri umbali mrefu kutoka wilaya zote za mwanza na visiwani kufika ofisi zao zilizopo Buzuruga kwenye jengo la TMDA
2. kuna foleni kubwa sana inayosababishwa na wingi wa...
Habarini wanajf
Naomba kufahamishwa chuo kinachotoa mafunzo ya udereva wa mitambo kama Caterpillar, Greda, kijiko nk. Ninapenda kujua vyuo, mahali vilipo, jina la course pia na gharama kama inawezekana. Chuo kikiwa Dar itapendeza zaidi. Nitashukuru kwa msaada wenu wakuu.
Wakuu natafuta tamthilia ya kihispaniola iitwayo la esclava blanca ama the white slave kwa kiingereza. Kwa yeyote mwenye soft copy ama maujanja ya kudownload naomba anisaidie. Kwa sasa ni episode ya kwanza tu inayopatikana youtube
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanuni ya kutengeneza Kinywaji cha coca cola ambacho hutengenezwa kwa zao la cola (colanut) na majani ya mmea wa coca iligunduliwa na mfamasia wa kimarekani John S Pemberton mwaka 1886 huko atlanta.
Alilenga kugundua Kanuni ya kutengeneza dawa ya kifua, dawa aliyoigundua ilishindwa kutibu...
Najiuliza mengi wanajukwaa
Kwani elimu bure aliahidi nani? Aliyeahidi si ndo anayetakiwa kugharimikia bila kuathiri shughuli zingine? Je hii ya kulazimisha walimu no sahihi maana huu siyo mchango maana no lazima la sivyo utajieleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.