Asante mkuu kwa ushauri, mimi sio mtaalamu sana wa magari lakini kwa nini unasema TDI sio nzuri kuliko TD5? zina tofauti gani? Je TD5 inaweza ikapatikana kwa bei gani maana bajeti yangu sio kubwa sana?
Ninao ushahidi kabisa wa watu waliofanikiwa hapa, mmoja alikuwa ni member na mwingine sio member. Waliwasiliana kwa miezi tisa kabla ya kuonana na baada ya mwaka mmoja ndoa ilifuata. Kwa hiyo wapo watu ambao wapo serious hapa japo sikatai wengine wanafanya utani.
hilo sibishi.....inawezekana kabisa kabisa tukawa na chemistry na mwanamke fulani na wala sina attitude hiyo. Tatizo hapa ni muda, uzee upo karibu na mimi napenda wakati nasubiri kujaaliwa huyo huku naendelea kulea sababu baadaye unaweza kuwa umeshazeeka ndio unajaaliwa wa ubani wako vipi...
Ndio nafahamu na bado napiga goti kumuomba. Maombi kwa Mungu yanaweza yakajibiwa haraka sana au baada ya milongo kadhaa kwa hiyo bado sijakata tamaa kwa hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.