Kwa mujibu wa ripoti zilizochunguzwa na kuwasilishwa na Serikali ya Zuma Bungeni Shirika la Ndege, South African Airways liko mbioni kufilisika.
Shirika hilo limekuwa likijiendesha kwa hasara kwa miaka 7 mfululizo na karibia litashindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wake.
Shirika limeomba...
Mimi na samsung S7 .. ilikuwa version 6..nikapelekea jamaa wa customer service pale kkoo waniweke version 7...cha kushangaza baada ya kufanya update simu yangu ikapoteza network na imei inayosoma nitofaut sio iliyopo kwenye simu...msaada please ..wamekaa na simu yangu mwezi sasa
WIZI.....WIZI .............Salamu wandugu! Gari Rav4 yenye namba T710 DGN iiliyoibwa jummane iliyopita imeonekana MWANZA maeneo ya ngudu ikiwekwa mafuta TABASAMU PETROL STATION usiku wa alhamis kwa yeyote atakae iona popote tunaomba ataoe taarifa police au kwa namba hizi Voice call 0714876647...
WIZI.....WIZI .............Salamu wandugu! Gari Rav4 yenye namba T710 DGN imeibiwa usiku wa kuamkia leo. kwa yeyote atakae iona tunaomba ataoe taarifa police au kwa namba hizi 0713 119 923 au Voice call +255 714876647
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.