Search results

  1. Sosthenes Maendeleo

    Sioni haja ya kwenda chuo

    Tatizo unafikilia kusoma uje uajiriwe bali sio kupata maarifa na ujuzi. Nenda kasome yawezekana pia ukaajiriwa kama unavyotamani kila mtu na bahati yake
  2. Sosthenes Maendeleo

    Naomba msaada wa dawa ya panya wanaojificha kwenye gari

    Nunua indosini nyunyiza kwenye dagaa au nyama weka sehemu atafika akila atakufa
  3. Sosthenes Maendeleo

    Nikiona mtu mzima anaendesha boda naingiwa na hofu sana

    Mimi sikufaulu kaka. Tuliomo humu sio wote wasomi mimi ni mmoja wapo
  4. Sosthenes Maendeleo

    Kushuka kwa thamani ya Tshs dhidi ya USD tatizo ni nini?

    Watu waache kuficha pesa kwenye mabegi wapeleke benki itasaidia kushusha thamani ya Dola $
  5. Sosthenes Maendeleo

    AC na Feni zipo ila joto limezidi linapoteza hamu ya sita kwa sita

    Ungama dhambi zako, fanya toba ya kweli, funga kula na kunywa ili ghazabu ya ya Muumba isishuke juu yako kwa uzinzi na uasherati. Suala la kuongezeka joto ni la kidunia likitokana na maendeleo ya kibinadamu kama viwanda, mashamba, makazi, barabara na uchafuzi wa mazingira
  6. Sosthenes Maendeleo

    Rais Museveni amteua mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa CDF

    Nafasi alikokuwa nayo aliitendea kazi nzuri rais kaona ampe kazi kubwa zaidi kuendana na umahili wake
  7. Sosthenes Maendeleo

    Pamoja na juhudi kubwa niliyofanya kufahamu lugha yao, msichana wangu Msandawe amenicha

    Unafukarisha wanaume wewe. Ukifanya hivyo mwanamke atakudharau kwa kukuona hayawani
  8. Sosthenes Maendeleo

    Gharama za Lipa kwa simu mbona zimepanda sana?

    Huduma za miamala ya simu ipo juu sana siku hizi imekuwa ya kibepari
  9. Sosthenes Maendeleo

    Mzazi mwenzangu anadai atabadili cheti cha mtoto cha kuzaliwa atoe jina langu kwa kuwa ananichukia

    Naona umewapa back up watu wa kampeni ya kataa ndoa, ishi maisha yako kuwa tayari kwa lolote hasa lisilo kudhuru na kukuondolea utu wako
  10. Sosthenes Maendeleo

    Nikiona mtu mzima anaendesha boda naingiwa na hofu sana

    Hisia zako tu mbaya, mwanamke pia anaweza kufanya kazi za udereva na wengi wamekuwa maarufu na kufanikiwa maisha
  11. Sosthenes Maendeleo

    Nikiona mtu mzima anaendesha boda naingiwa na hofu sana

    Bodaboda ni kazi nzuri tu tatizo linaanzia pale wanaposhindwa kufua take sheria za barabarani na wengi wao hawana leseni ya kuendesha vyombo vya moto na wengi wao wana nyendo na sifa mbaya za umalaya, ulevi, uvutaji wa shisha na kutokuwa na elimu ya kutosha
  12. Sosthenes Maendeleo

    Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

    Kubadili dini ni haki ya kila mtu, hata kama ataona dini haina maana yaani abaki mpagani nayo ni sawa pia hana kosa kisheria
  13. Sosthenes Maendeleo

    Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

    Huyo mtoto ndio anaweza kuja kuwa msaada wako uzeeni, mara nyingi watoto waliokataliwa huja kuwa na maisha mazuri baadae. Tulia mpende mtoto kuna watu wengine wanakoswa watoto maisha yao yote na bado wanalea watoto sio wa kuzaa.
  14. Sosthenes Maendeleo

    Mvutano: Ni kwanini Mungu alimruhusu mwanaume kuweza kuwa na mke zaidi ya moja kwenye biblia lakini makanisa yamekataza?

    Hapo baadae wanawake wenyewe wataandamana mtaani waolewe na wanaume walio kwenye ndoa. Itafikia kabisa watazalishwa na kuachwa majumbani mwao
  15. Sosthenes Maendeleo

    Waajiriwa wenzangu kuweni makini kulinda salary slip yako isichafuke lasivyo utakiona Cha moto kama mimi

    Chezea mshahara usichezee kazi wewe. Kopa jenga, ongeza mke wa pili na side chick
  16. Sosthenes Maendeleo

    Mwaka umeanza vibaya. Inauma ila hamna namna.

    Hongera kwa kuwa muwazi kwake. Mwanamke kama bado hujapata pesa hata kama unampenda atasema unamtania na huna upendo wowote. Atakuthamini na kuwa mtiifu kwako kama una pesa, gari na nyumba
  17. Sosthenes Maendeleo

    Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

    Mimi kwa sasa nashauli watu wenye akili wasome masomo ya sanaa watatoboa kuliko kusoma sayansi baadae kulalamika maisha magumu Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom