Search results

  1. S

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Ni kweli. Kumbuka amekufa TB Joshua, wamekufa Popes wa Rome, wamekufa ma Rais nk! Ni fumbo kubwa.
  2. S

    Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

    Yupo wapi siku hizi!!!? Simuoni kwenye kipindi cha Clouds 360!!?
  3. S

    Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

    What's behind Mona Lisa smile? The secret behind the Mona Lisa is that the "happy" part of her smile is actually buried in a low spatial frequency pattern. So if you're not looking directly at her mouth, her smile looks cheerful. But when you look directly at her smile, parts of it disappear...
  4. S

    Happening now at Kondo Bahari Beach: Marehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo

    Ila mkuu na uongo pia hujipenyeza kwa excuse hizohizo!
  5. S

    Ufahamu kuhusu nyota za angani

    Thanks mkuu.
  6. S

    Dah! Wakuu, nahisi nimegongewa

    Kwani bikra huwa na phase one na phase two?
  7. S

    Mambo ya ajabu niliyoyaona Msumbiji (Mozambique)

    Ni kasumulu sio Kamusulu mkuu!
  8. S

    The World is a flat plane and not a globe

    Dunia ni duara kama tufe. Msidanganywe na conspiracy theories. Wataalamu wa kurusha long range rockets au ballistics missiles wana formula moja ambayo lazima upate Earth Curvature at a certain point,ili kudondosha kombora lako unapotaka. Earth curvature ni mpindo au mduara wa dunia ulivyo. Sasa...
  9. S

    Nishauri: Mke wangu kanijibu yeye ni mrembo, anatongozwa kila siku na kunambia maisha anayaweza sio lazima kuwa na mimi

    Just focus on your job and objectives. Tafuta mrembo mwingine mstaarabu atakaekuwa anakutimizia na kukuliwaza nyumbani. Msahau huyo sunguratope,maisha yaendelee.
  10. S

    Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

    Mkuu umechanganya desa kidogo. Katika kiswahili Sifongo ni aina ya kitu kinachonyonya kimiminika kinaweza kuwa kama dodoki au godoro. Siki ni aina ya asidi ambayo yaweza kuwa sumu au la. Kwa kawaida siki ni chachu hivyo ukiiweka kwenye vidonda huleta maumivu. Inavyoonekana walikusudia...
  11. S

    Naanzaje kuacha kunywa Bia?!!!.

    BEER,BIERE,CERVEJA!
  12. S

    Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

    HIyo unayoambiwa ni Ijumaa yaweza kuwa ilikuwa alhamis jioni mara baada ya jua kuzama.Kwa hesabu za wayahudi na hata wasabato hiyo tayari ni ijumaa. Rejea mjumbe mmoja hapo juu alivyokufafanulia jinsi wayahudi walivyohesabu siku.
  13. S

    Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

    Kwani umekasirika?
  14. S

    Mwizi uliyeiba i phone jua unaonekana mpaka kwako picha inajieleza

    Picha toka March 20 bado zinasafiri tu kuja!
  15. S

    Jinsi ya kuongoza ndoto za usiku utakavyo (Lucid Dreams)

    Mimi nikiwa naota huwa naweza kujitambua kuwa nipo ndotoni. Siku moja nilota nipo Mikumi porini. Mbele yangu likaja kundi la simba. Hapakuwa na pa kukimbilia. Nikakumbuka nipo ndotoni. Basi nikamfuata Simba jike kwenye lile kundi nikampiga busu kubwa!. Dume lake linaniangalia tu! Kisha huyo...
  16. S

    Serikali ya Tanzania yatoa misaada ya Chakula na Dawa kwa nchi za Malawi, Msumbiji na Zimbabwe zilizokubwa na mafuriko

    Tuanaomba muendelezo wa story na picha. Walipofika Mozambique,Malawi,Zimbabwe hali ilikuwaje?
  17. S

    Urgent:Dreva wa kufundisha gari anahitajika

    Kufundisha gari ili gari lijue kufanya nini!?
Back
Top Bottom