Pole Na Majukumu Ya Kila Siku Mtanzania Mwenzangu, Vipi Umeshapata MAISHA BORA Kama Walivyokuahidi CCM 2005 Na 2010? Anayekuuliza Si Mwanasiasa, No! NiMwanaharakati!! Hebu Jiulize Hawa Wanaotoa Ahadi Wanakuonaje Wewe?
1, Ni -----
2, Ni Mjinga
3, Mpumbavu
4, Mwehu
5,Mwendawazimu
6, Una Ubongo Wa...
Naitwa manyama ni mtoto wa pili katika familia ya mzee kapanga familia ya mzeee komba ni mda mrefu sana familia yangu imekua ikinisumbua juu ya kuoa sasa mimi naoa kama utumwa vile nataka niendelee kula ujana.
Naombeni ushauri wenu nifanyaje juu ya hili.
Wakuu samahani kwa hili jaman naomba kuuliza hvi Mwenge unafaida gani au unasaidia nn katika nchi yetu wakuu maana ukitua sehem na kukesha basi ujue hapo kila vitu vibaya hufanyika. Mfano ulevi, umalaya, wizi na matukio mengine kibao so naomba kuelimishwa zaidi kuhusu hili.
MIMI...
Hku kwe2 serkal ya ccm inatulazimisha cc vjana kucheza mgambo na usipo enda kucheza mgambo waki kukamata wanakubuluza mpaka m2 akikuangalia uson hauelewek m naomba kujua labda mgambo unafaida gan kwetu?
M n kjna mchapa kaz na pia n msanii wa mzk wa kizaz kipya napatika ktk mkoa mpya wa njombe natafta kaz ya kuendeza magar na namba yangu ya cm n.0655549389
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.