Search results

  1. Matokeo1

    Huyu ni mwanafunzi wa kijiji gani hapa jijini Makete?

    Mzizi mkavu nimekutxt inbox mzee wangu
  2. Matokeo1

    Huyu ni mwanafunzi wa kijiji gani hapa jijini Makete?

    Mzizi mkavu nine Ku pm inbox mzee wangu
  3. Matokeo1

    Kondakta, na Dereva wasimulia mkasa wa mwanafunzi wa NIT kupigwa risasi

    Ndugu zangu uwe manasiasa au usiwe, uwe mwanachama wa chama Fulani au usiwe, uwe ni dini flani au usiwe, hakuna atakeye pona siku kikinuka kikubwa tuweke hitikadi na Mapenzi ya vyama pembeni tujue wapi tunapokosea na tufanyeje kupata suluhu, maana siasa itakufuata hadi hapo kitandani.
  4. Matokeo1

    Baraza la Maaskofu Katoliki watoa tamko kulaani mauaji Kibiti na shambulio kwa Tundu Lissu

    Mi katoliki nlikua nawaamini viongz wake sana kipnd cha nyuma kukemea maovu ila siku hizi hawasikiki, waache uoga na unafiki kutokemea maovu hadi wasikie makanisa mengne wamesemaje ndo na wao waongee
  5. Matokeo1

    Msaada

    msaada ndugu zangu afisa tarafa kwa kingereza
  6. Matokeo1

    Accounting package gani ni nzuri kutumiwa kwenye kampuni ya ujenzi wa reli na ujenzi wa barabara?

    ndugu zangu wana JF naombeni mnisaidie afisa tarafa anaitwaje kwa kingereza/
  7. Matokeo1

    Mrejesho: Maumivu ya tumbo sehemu za mbavuni kulia na kushoto

    Wakuu mi ninatatizo ambalo lilinianza kama wiki mbili hivi, mwenyekujua dawa anisaidie jamani, Salome naomba msaada, mi mdomo wangu umekua ukiwaka moto sana usiku, na mchana unakaukaa nikicheka unapasuka unatoa damu, nimepima damu hawajaona tatizo, wakanipa vdonge vya vitamin c, na oracure gel...
  8. Matokeo1

    Natafuta mke wa kuoa ambaye ni docta

    hana shida mkuu wangu, mshtue shangazi aje inbox tu kikubwa ni maelewano, umri sio tatizo kaka, kikubwa ni mkristo na awe mcha Mungu tu
  9. Matokeo1

    Natafuta mke wa kuoa ambaye ni docta

    hana shida mkuu wangu, mshtue shangazi aje inbox tu kikubwa ni maelewano, umri sio tatizo kaka, kikubwa ni mkristo na awe mcha Mungu tu
  10. Matokeo1

    Natafuta mke wa kuoa ambaye ni docta

    namba ya cm tena kiongozi, hapana bana, waje inbox maana nipo serious kabisa
  11. Matokeo1

    Natafuta mke wa kuoa ambaye ni docta

    Za leo wana JF, Natafuta mke wa kuoa ambae ni daktari, awe mkristo, umri kwangu sio kigezo, na awe mcha Mungu, umri wangu ni miaka 32 na elimu yangu ni degree holder, nipo serious mwenye nia ani PM.
  12. Matokeo1

    Wakuu Yetu Microfinance Bank Wameshaita watu?

    na zile za LAPF dodoma mwenye update kama washaita interview wakuu
  13. Matokeo1

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    1.nakunywaga maji mara kwa mara sana, hasa nikiwa dar, naweza kunywa robotatu lina kwa wakati mmoja, na ni zaidi ya mara tano kwa siku 2.sipatagi maumivu wakati wa kukojoa, ila uume huwa na maumivu kwa mbaliiii nikishakojoa bao la kwanza 3.baada yabao la kwanza naweza kukaa dk 15 uume unasimama...
  14. Matokeo1

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ndugu zangu, mi ni mwalimu wa sekondary nafundisha wilaya ya nyang'whale mkoa wa Geita natafuta mtu wa kubadilishana nae nije wilaya yeyote ya Kilimanjaro au Arusha
  15. Matokeo1

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    ila tatizo langu nataka nipige bao mbili na kuendelea, ila nkishapiga moja tu sipatagi tena jingine zaiidi ni kumsababishia maumivu mwezangu kwa mda mrefu ninaocheza game bila kumwaga la pili,
  16. Matokeo1

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Mkuu nakulanga vyakula vya kwaida kama ndiz nyama, ungali, wali, tambi, almost vyakula vyote ila sanasana nikiwa hapa dar ni ungali, wali, na chips.
  17. Matokeo1

    Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

    mzizimkavu shikamoo baba, naombaunisaidie hili, unga wa udishe kwa jina mbadala unaitwaje, nimeulizia sana ila maduka ya dawa za mitishamba wauzaji hawaujui
  18. Matokeo1

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    dr naomba unisaidie tatizo langu, mi nikiwa kwenye tendo la ndoa nikitoa bao la kwanza penis ilala na baada ya dk tano inasimama na naweza kuendelea na natendo la ndoa hata dk arobaini bila kumwaga mbengu tena, hapa nifanyeje kuondokana na hili tatizo?
Back
Top Bottom