Rafiki yangu ni ni mwanamke mzuri, chapa kazi mwenye watoto wa3 aliyetoka kwenye ndoa chungu. anatafuta mume awe ana watoto au asiyeweza kuzaa na hatojali kuishi na wanaye na yeye kama kitu kimoja. Lazima awe na mafanikio kwani naye ana mafanikio pia.
Huyo mama hakujibu vizuri. Ila na wewe ni mgeni mwenye kiherehere. Ndo nini kuuliza mambo ya taratibu za nyumba za watu? Usikute uliuliza kwa sauti hadi huyo mschana akasikia. Kiherehere
Acha pumba basi. Em guess majibu kwenye multiple choice alafu subiria matokeo.
Kama mdau alivyosema, ni kweli kbs essay na short notes zinawabeba waliokariri. Unaandika andika tu, hitting around the bush na haukosi hata 2 marks. Ila multiple choice ni u either right or wrong basi.
Binafsi chuo...
Endelea kujidanganya. No one wants kumuajiri bosi mkubwa anaongea "ze, ze" nyingi, labda serikalini na ofisi zisizo makini. Communication tena formal ni muhimu sana karbe hii na zijazo.
Nawaonaga wanavyopata ugumu kuparticipate vzr kwenye vikao au kuwasiliana kwa muda mrefu na client. Adi...
Kama utamuacha mke kisa ugomvi wa kupiga pasi, wewe ni hovyo!!
Mke anaweza kujibu hivyo kutokana na mood mbaya tu, au ww ulivyoomba kupasiwa, ila kesho ukakuta kanyoosha nguo zote. Mbona kupeana majibu ya ajabu one tym one tym ipo sana. Ni kuzoeana
Mkeo ana makosa, ila wewe kuhusisha hilo kosa na kumuhudumia mwanae ni kosa zaidi.
Natamani amtafute huyo baba wa mwanae, tena aba uwezo mzuri, wawe wanakutana kujadili maendeleo ya mwanae na kuchukua matumizi kisha watiane
ila na ww ni mume wa aina gani bana....unataka kuomba likizo usafiri na mama kwenye vikao vya vikoba??????? dereva wa serikalini nn? hii tabia saizi yako kbs.
nshamuelewa huyo wife. ana bwanaake, ndo maana hata faida anazopata huko anatumia kujipendezesha. hapo kakuwekea mtego ili na wewe ukimshtukia usiwe na lakusema, atakua anajua fika kua unamla shoga yake ila she is smart about this.....akichoka huko au akiachwa, anakuletea ww kesi ya kumla shoga...
inaelekea unamambo ya watu waTanga, kujaza nyumba ndugu. huyo mdogo wake na watoto wa kaka yako, wote warudi makwao uwalipie ada na misaada mingine huko huko.
sio uchoyo, nyumba kujaa watu ni kero, mtu huwezi ztz kua na bites na makorokoro yenu mkajipanga na mazumizi hadi ya luxury...maana hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.