Asante sana hope wewe utakuwa TAG,Mungu akubariki kwa andiko lako,wanahitaji maombi na kutiwa moyo,kikubwa tukumbuke pia nao ni binadamu kama sisi wana mapungufu na madhaifu yao,tuache kuwachukulia kama Mungu
Swali zuri sana,dawa ni dawa,hasa matumizi holela ya dawa huwa na athari kubwa sana,kama uko katika hali nzuri huna haja ya matumizi ya dawa hizi,maintain tu hali yako ya afya vizuri kwa kuzingatia ulaji mzuri wa vyakula bora na mlo kamili,mazoezi kidogo na kupumzika.
Japo uzi naona unawahusu wanaume zaidi ila nami ngoja nichangie kwa uchache kama mdau wa afya, kwanza pole sana ndugu,nimejaribu kusoma comment zote kifupi ndugu hujarogwa wala nini ila ni wewe tu ulizembea zembea kwenda hospital,umesema tatizo lilianza kabla hata hujaoa,na limeendelea kuzidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.