Search results

  1. everlenk

    Ushauri: Nataka nianze kula kitimoto

    Umechelewa sana
  2. everlenk

    Mrejesho kuhusu vijana nane niliowasaidia

    Hongera sana na Mungu akubariki kwa kuwainua wenzako.
  3. everlenk

    Je, unayajua anayopitia mchungaji wako?

    Asante sana hope wewe utakuwa TAG,Mungu akubariki kwa andiko lako,wanahitaji maombi na kutiwa moyo,kikubwa tukumbuke pia nao ni binadamu kama sisi wana mapungufu na madhaifu yao,tuache kuwachukulia kama Mungu
  4. everlenk

    Msaada: Uume wangu unasimama kidogo sana nikiuweka ukeni unalala

    Exactly,chakula bora na kamili,mazoezi ni permanent solution.
  5. everlenk

    Msaada: Uume wangu unasimama kidogo sana nikiuweka ukeni unalala

    Swali zuri sana,dawa ni dawa,hasa matumizi holela ya dawa huwa na athari kubwa sana,kama uko katika hali nzuri huna haja ya matumizi ya dawa hizi,maintain tu hali yako ya afya vizuri kwa kuzingatia ulaji mzuri wa vyakula bora na mlo kamili,mazoezi kidogo na kupumzika.
  6. everlenk

    Msaada: Uume wangu unasimama kidogo sana nikiuweka ukeni unalala

    Japo uzi naona unawahusu wanaume zaidi ila nami ngoja nichangie kwa uchache kama mdau wa afya, kwanza pole sana ndugu,nimejaribu kusoma comment zote kifupi ndugu hujarogwa wala nini ila ni wewe tu ulizembea zembea kwenda hospital,umesema tatizo lilianza kabla hata hujaoa,na limeendelea kuzidi...
  7. everlenk

    Wapenzi wa SAD song or EMOTIONAL songs tukutane hapa

    Lini utapita kwangu by Abiud
  8. everlenk

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweli is big now,jamaa anateseka sana,si hizo habari apeleke jukwaa lao?
  9. everlenk

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hahahhahaah wanajua patawaka !!!
  10. everlenk

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hongereni wadau kwa kulipamba jukwaa!! Hope wote humu mko poa,CR7 karibu tena nyumbani. #GGMU
  11. everlenk

    TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Hahahahah loooh!! Shem habari za siku? Hujaacha vituko tu!!!
  12. everlenk

    TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

    Hahahahaa nimezeeka na majukumu mengi,ila una namba hata ungenitonya huko [emoji846]
  13. everlenk

    TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

    Jamani wewe hata kuniambia mm nilikuwa sijui jamani mweee!!! [emoji24] RIP Warumi
  14. everlenk

    Namtafuta rafiki yangu mzanzibar Wahida Mohammed (Entry UDSM 2006)

    Wala sikuwa huko nilikuwa na huyo huyo Wahida wako[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  15. everlenk

    Kuna siri gani ambayo Jenerali Venance Mabeyo anataka kumpa Rais Samia Suluhu?

    Binafsi nadhani kaweka tu tension,kuna ile kibiblia wanasema astahiliye hofu mpe hofu....kuna ujumbe umelengwa kwa watu fulani.
Back
Top Bottom