Mi huwa naweka mitego kwa wale wauzaji wa vitabu used posta. Ikitokea wamevipata wananipigia. Ila sijabahatisha any of these ingawa hadithi yake iko vivid ka nimesoma jana
Hii habari ya kuachiwa na Nyerere baada ya miaka 7 imenishinda kuelewa, ukihesabu kesi iliamuriwa 1979 ukijumlisha 7 inakuwa 1986 kipindi ambacho Nyerere hakuwa Rais bali Mwinyi. Can somebody clarify
Eddie Ganzel
1. Mauaji ya kishenzi
2. Sikunyongwa
3. Unyama wa mafia sehem ya kwanza
4. Unyama wa mafia sehem ya pili
5. Unyama wa mafia sehem ya tatu
6. Unyama wa mafia sehem ya nne
Hivi vitabu vilikuwa vinafuatana, of course kila kitabu kinafika mwisho hulazimiki kusoma kinachofuata
Niko youtube naangalia baadhi ya video chache za mwendokasi festival.... naona kama wamekula za uso maana watu ni wachache tofauti na matangazo na mategemeo
i see... u line of thinking inasikitisha na haiko well informed kabisa. umeshawahi kukisikia chama kinaitwa CCJ na sijui CCK? havijafa? wakina Mpendazoe wamekufa? acheni utoto jamani. na haya mambo ya moderator kuita watu senior members halafu wanafikiria kibwege namna hii inapunguza thamani ya...
failed to connect hayo maneno yanayotoka kwenye katiba ya ccm na mienendo ya mwigulu. mi nadhani mwigulu is only reacting to cdm politics za kuifanya ccm chama kinachojihusisha na matendo ya kigaidi. ka spika alivyosema tu "mkuki kwa nguruwe"
sio kwamba wizara zina watendaji ambao ndo wataalam ambao hufuatilia bunge muda wote na hao ndo wana wajibu wa kuwasaidia mawaziri kujibu hoja? uwepo wao nadhani ni wa kisiasa zaidi lakini kazi inafanywa na behind the curtain staffs
mi nahisi kama vile kutakuwa na wabaya wake ambao wame take advantage ya ugomvi wake na serikali kumfanyia vibaya kwani wanajua wanajamii hawawezi kuangalia zaidi ya ugomvi wake na serikali
aisee, lakini nadhani hiyo sio dawa. kwanini asisaini halafu kama ana malalamiko aende mahakamani. mbona wabunge wengi walishaangushwa mahakamani na uchaguzi kurudiwa.
mi nadhani kila kitu kinafahamika. tumechoka kutawaliwa na chama kilichoshindwa kumhudimia mtanzania wa kawaida. we need a change, lets not be fooled jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.