Katika Mkutano wa TUCTA uliofanyika Msimbazi Center TUCTA wamewataka wanachama wao kujiandaa kugoma iwapo bei ya umeme haitakuwa imeshushwa kufikia Aprili Mwaka huu. Na TUCTA wametaka Serikali kusikiliza kilio cha wafanyakazi badala ya kuwazidishia makali ya maisha kila siku iendayo kwa Mungu.
Wengine wanatafsiri eti katika siasa twapaswa kupendana na wapinzani wetu
Wengine, twapaswa kuvumiliana, wengine twapaswa kuheshimiana, wegine kuaminiana, nk. Wewe unaisomaje picha hii katika kuihusisha na siasa zetu za TZ?
Issue sio kwamba mfanyakazi wa chini analipwa mshahara mdogo, lah! ni kucheleweshewa mshahara. Mbona Taasisi zingine za Serikali hata mishahara ikichelewa wanatumia fedha zao ambazo mishahara ikitoka hurudishwa. Iweje huyu mama yeye fedha zinazokuwepo atumie yeye tu kwa safari badala ya kuwalipa...
We uliyejibu hapa najua ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala ambaye mnalipana kinyemela na kuwaacha wafanyakazi wa chini wakinyanyasika. Jitambue acha unyonyaji!
Mpaka sasa wafanyakazi wake hawajalipwa na Yeye kila mwezi ni lazima atumie pesa za Taasisi kwenda Ulaya. Wafanyakazi wamelalamika hadi kwa Waziri lakini Waziri kauchuna tu. Mtindo wa kulindwa na Waziri kunaifanya Mamlaka ya Hali ya Hewa kuwa wakiwa na ndiyo maana kuna wkt kazi za utabiri...
Muda huu hapa Masaki, yule kijana ambaye niliwahi kutoa taarifa kuwa anataka kudhulumiwa haki yake amevamiwa tena na wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni na wameendelea kubomoa.
Kijana huyu juzi J'pili alikamatwa akawekwa polisi lakini baada ya kujieleza jana akaachiwa bila kufunguliwa...
Mmetoa tangazo kwamba mtatuletea majina ya watakaomaliza chuo na kuwepo kwenye mahafali tarehe 16 Oktoba 2012. Mbona mpaka leo hii majina hayajatoka? Mnategemea sisi tuliopo Kigoma tukipata majina hayo siku 5 kabla tutawezaje kuja kuhuddhuria? Mbona mnazidi kutunyanyasa, matokeo yetu yenyewe...
Huyu Naibu Waziri wa Fedha Janeti Mbene ameanza kutumia vibaya madaraka yake kwa ajili ya kujinufaisha yeye binafsi. Hivi karibuni Naibu Waziri huyu ameuelekeza uongozi wa Manispaa ya Kinondoni kwenda kubomoa nyumba ya kijana mmoja maeneo ya Masaki karibu na Double Tree hoteli kwa kusingizia eti...
Nimekuwa mfuatiliaji wa zaidi ya miaka mitano wa mtandao huu, sikuwahi fikiri kama ipo siku nitaamua kuwa mwanachama kwa sasa nimeamua niwe mwanachama shiriki ili niwe nawaletea nyeti za Masaki. Kwa kuanzia nakupa moja kali inayomhusu Naibu Waziri Janeti Mbene.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.