Hakika, amenisikitisha sana mtu wa Kariba yake kutokuw na umelewa wa social protection schemes. Sasa alitaka wastaafu watibiwe na nini. Alichokisema ni typically tabia za weusi kula na kuvimbiwa na kusahau kesho IPO. Anyway labda kwakuwa yeye atapata premium service kwa nafasi yake akistaafu..
Mission iliyopo huko sio ya Monusco. Ni sadc ambao Tshisekedi aliomba kwa wakuu wa Sadc wakamsaidie kupora waasi silaha na kurejesha amani. Kwasababu serikali ya Congo inawatambua M23 kama waasi ndio maana hivyo vikosi vimepewa maelekezo ya kutoa kichapo kwa hao kunguru. Mind you, hili swala ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.