Mkuu mimi nna experience ya kuagiza na gnm na silent toka china,nipo mkoani,mzigo wangu ukifika nalipia kwa simu then wananitumia release order,unaomba watu wa warehouse wanakutafutia gari au boda depending na ukubwa wa mzigo,then kwa my case hua wananipelekea ofices za abood msimbazi na...
Wakuu salam
Nataka kufanya hii biashara
Naomba mwenye ujuzi tushee
Printer ya aina gani inatumika
Materials
Ujuzi
Na upatikanaji wake
Natanguliza shukran
Nimeatach picha ya sample
Mkuu msimpe ni mdogo sana haishauriwi,wangu akipata mafua nakata vitunguu maji namuekea kwenye soks,vingine naweka kwenye sahani/kisosi kwenye kimeza ndani ya chumba alimo mtoto,haichukui muda mafua yanaisha.
Na kuna Dr anashauri yakizidi yakiwa yanaziba pua apewe *saline drops*nimesahau...
Kampala hakuna shida kabisa,ukipanda gari za friends ukifika tu ofisini kwao kuna watu wa hotel inaitwa kilimanjaro inn wanakuja kupokea wateja,hiyo hotel ni nzuri coz ipo katikati ya maduka zipo na nyingine kama kk trust etc
Viatu mostly vipo jengo la capital ground floor na majengo mengine...
Mtu wangu wa karibu alifanyiwa operation ya tumbo mwaka juzi,mwaka huu alipata maumivu makali sana hayasikii dawa,alikutwa na isue wanaita wenyewe adhesion ,ikabidi afanyiwe tena operation ya emergency kurekebisha as walisema inamuweka kwenye risk ya kupata more complications like utumbo...
Mkuu salam ZAGANZA ,nilifanya *hot full leg wax* sasa sehemu husika ni etokwa kama na vipele vidogo vidogo vingi,,like vile kwenye ngozi ya kuku baada ya kumnyonyoa ,,nini shida?kuna kitu nlitakiwa kufanya after waxing?iliku mara yangu ya kwanza,je natibu vipi hivo vipele,,uzuri haviumi japo...
Wakuu nimesoma thread nzima mdo naimaliza,,nimeona kati ya hizo simi hizi mbili moja wapo itanifaa,,napenda sana picha nzuri so mnishauri kati ya MI MIX 2 au MI6?kuna mtu anakuja nataka kumuagiza ASAP @chiefmkwawa msauziy
Cheers
Oman air ni cheapest,nimewahi safiri mpaka kwa usd 452 go and return,,wanakua na promotions pia mara nyingi,wanatoa kg 50 plus 7,,check website yao kuna offer pia inaisha leo as cheap as 496 usd kwa go and return from Dar to Guangzhou
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.