Je unataka kuwaua au kuwakimbiza tu eneo hilo? Kama kuwakimbiza dawa yao ni simple sana, we mwagia poda tu sehemu husika, hawafiki ng'o, au hata kama walikuwepo basi fasta lazima wakimbie. Mfano hapo kwenye kijiko chako cha gesi, uwe unambagilia kuzunguka, sisimizi hakanyagi. Jaribu hiyo utanipa...
Kuzuia wananchi wasio na kazi kukusanyika vituo vya polisi ilikuwa ni sahihi, ila si kuzuia waandishi wa habari ambao wana vibali vyao vya kufanya kazi
Tanga yanaitwa makoche, miti yake inaitwa mikoche, matunda yanaliwa, ni yana nyuzi nyingi sana, na kokwa yake iipo kama nazi, kwa maana ile nyama na maji, na matunda haya hupendwa zaidi na nyani na tumbili.
Wakuu,
Naomba mnifahamishe,
Nimekuwa nikisoma intellectual documents, mara nyingi document inapoanza, page zile za mwanzo mwanzo, utakuta kuna page moja imeachwa blank, na wanaandika kabisa kuwa hiyo page imeachwa hivyo intentionally,
Swali, Je ni nini maana ya kuacha hiyo page?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.