Sumbawanga - MPANDA District Magistrate's Court in Katavi region has sentenced director of a mining company, a Chinese national, Bloan Chaoxan Zhou (42) to four years in jail for illegally mining at a prohibitive area of Lwafi Game Reserve in the district.
However, the Chinese national,who runs...
January Makamba ameanzisha mdahalo wa katiba mpya kwenye facebook kinachoendelea kimekaa vizuri watu wanachangia yeye amekaa kimya
"Tuzungumze Katiba mpya. Why is the current one inadequate? Why do we need an entirely new one instead of amending the problematic ones?" JM
wanajamii naomba kuuliza je Serikali ya Tanzania inawapa ulinzi wa aina gani wagombea wa kiti cha uraisi.Kama tulivyoona wakati wa uchaguzi wa Marekani obama,clinton,mccain walipewa secret service protection mpaka mshindi alipopatikana.Sijui Dr Slaa atakuwa amejibanza wapi wakati matokeo...
Baada ya kukaa ughaibuni kwa muda mrefu nikawaza kujenga kibanda changu huko mbweni hivyo nikaomba ushauri kutoka kwa ndugu na jamaa.Vitu vingi nikiuliza naambiwa ni vya kutoka South Africa,mabati vigae, bei ya cement ni kubwa saana nikaambiwa ni kwa sababu Cement inapelekwa S.Africa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.