Habari wadau,nataka kuanza kusoma masomo ili nifanye mitihani ya bodi NBAA kwa kuanza na foundation level. kwa mwenye notes anaweza nisaidia maana nipo mkoani hakuna namna naweza kuhudhuria reviews. Thanks
Habari zenu wanajamii,naomba ushauri wenu mimi nina heka mbili ambazo zimepitiwa na maji ya jirani yangu aliyepitisha bomba la maji kati kati ya shamba langu na kufanya hekari moja kuwa chini na nyingine kuwa juu,sasa nataka kufanya kilimo cha umwagiliaji na nilitamani sana kutumia mipira ya...
Habari zenu madokta,naomba msaada wa kunisomea majibu hayo nimepata kutoka maabara ya lancert,nahisi maumivu japo sio sana napoenda haja ndogo,kuna ndugu kanishauri kufanya culture japo sijapitia kwa daktari naombeni atakayeweza kunitafsiria ntashkuru.asante
Habari wadau,
Mada tajwa hapo juu inajieleza, ninashida na hiyo app hapo juu ila nimejaribu njia mbali mbali kudownload nimeshindwa,tafadhali mwenye uwezo wa kunisaidia kwa namna yeyote ile nitashukuru sana,
Asante.
Naombeni msaada wenu wanajamvi,nina programu ya adobe photoshop 7 ila sina elimu nayo kwa wenye kunipa mwanga walao kidogo...
Natanguliza shukrani,
Tz12
Waheshimiwa
Habari,
Mi nina shida kwa wakati huu ambapo nipo wilayani na mpango wa internet
ndo uko chini balaa.Nilikuwa naomba kwa yeyote anayefahamu ni kwa njia
gani naweza pata huduma ya internet yenye kasi kwa bei nafuu kwa sasa
natumia modem za Voda na Airtel ila connection ndo ipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.