SI KWELI Threads

  • Article Article
Salaam ndugu zangu, Nimekutana na video fupi ikionesha Rais wa TFF Wallace Karia akisema kwamba itakuwa si vizuri kwa Yanga kwenda na ndege ya Rais baada ya kupoteza mchezo. Je, kuna ukweli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Salaam Ndugu zangu, Nimekutana na video kupitia mtandao wa Tiktok ikimuonesha Mwanajeshi wa Texas akiwavusha Wakimbizi kimagendo. Je, kuna ukweli wowote kwenye hili? Picha haihusiani na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Article Article
Vidonda vya tumbo ni tatizo linalosumbua watu wengi. Husababisha maumivu makali sana, kiasi cha kufanya liwe tatizo lisilovumilika kirahisi. Katika kutafuta tiba, baadhi ya watu hutumia dawa za...
1 Reactions
14 Replies
9K Views
  • Article Article
Wakuu, Kuna taarifa inayosambaa kwenye Makundi sogozi na Mitandao ya kijamii ikieleza kuwa TAMISEMI imetoa waraka unaopendelea wasichana kwenye upangaji wa nafasi Shule za kidato cha 5 tofauti na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Peace be upon ya' all, Hili swala limezua mjadala wa mda mrefu sana baina ya madaktari wao kwa wao wakivutana kwa hoja kuntu kabisa. Je ni kweli UKIMWI hausababishwi na HIV kwamba agenda nzima...
5 Reactions
12 Replies
5K Views
  • Article Article
Boqin
SI KWELI 
Picha moja iliyosambaa mtandaoni – ikiwemo hapa JamiiForums – inamuonesha mwanaume mmoja akiwa katika hali mbaya ya kiafya. Maelezo katika picha hiyo yameandikwa kwa lugha ya Kiarabu yakieleza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Article Article
Kumezuka tabia ya waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro kujihusisha na utapeli kwa kuchukua fedha za watu (wadau) wakidai ni gharama za kutuma habari lakini kinachotokea ni wizi mtupu. Juzi...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa watumiaji wa kompyuta mpakato huku wameipakata mapajani, pamoja na sisi tunaotumbukiza simu zetu zikiwa on air kwenye mifuko yetu ya mbele ya suruali tupo kwenye hatari ya...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
  • Article Article
Kwa muda mrefu sasa yamekuwepo madai yanayosema kuwa Mtoto mchanga ukimtazamisha kwenye kioo au Mwanga wa jua kabla ya siku 40 hupata Makengeza. Naomba kufahamu ukweli kuhusu jambo hili.
3 Reactions
2 Replies
5K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa mtu anapomeza vidonge kwa maji ya baridi sana ya friji, vidonge hivyo haviwezi kufanya kazi?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa kidonge kikianguka chini i.e sakafuni kinakuwa hakina uwezo tena wa kufanya kazi yake mwilini pale kinapomezwa?
6 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa punyeto iliyokithiri hupelekea tatizo la kukauka na kusinyaa kwa ngozi?
2 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Article Article
Kumekuwepo na taarifa kwenye mitandao ya kijamii lakini pia gazeti la Mwananchi limeandika kuwa Serikali ya Marekani imewawekea vikwazo wanasiasa wanne wa Kenya pamoja na familia zao akiwemo Naibu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Article Article
Payge
SI KWELI 
Kuna baadhi ya watu wanaamini kuwa wanaume waliyofayiwa tohara hupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume pindi wanapokua, na ni kundi ambalo lipo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU kwa...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Article Article
Nyendo
SI KWELI 
Nimeona mtandaoni barua ikizunguka kuwa BAKITA wameonya kuhusu matumizi ya maneno kama Famasiala, Famchezo, Fautani nk
3 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa vinywaji vya kutia mwili nishati (energy drinks) hupelekea upungufu wa nguvu za kiume?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Article Article
Baadhi ya watu hushauri matumizi ya pombe kali ili kutibu mafua na kikohozi. Madai yao yamebeba nadharia nyingi zinazohitaji uthibitisho wa kisayansi ili kuondoa sintohamu kubwa iliyopo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Article Article
Kumekuwepo na picha inayozunguka mitandaoni ikimuonesha mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akizungumza na Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho huku mandhari ya nyuma ya picha hiyo yakiwa...
6 Reactions
26 Replies
4K Views
  • Article Article
Nilipokuwa mtoto mdogo nilikuwa nasikia ukila maharage sana unapata uoni hafifu na mpaka sasa kuna watu wanaamini hivyo. Mimi ni daktari lakini mpaka sasa sijafundishwa hicho kitu.
1 Reactions
24 Replies
2K Views
  • Article Article
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardit alitokwa na mkojo iliyolowesha suruali yake wakati wa kuimba wimbo wa Taifa kabla ya kuzindua mradi mpya wa barabara, Jumanne Desemba 13, 2022. Video ya...
4 Reactions
35 Replies
7K Views
Back
Top Bottom