KERO Threads

Hali ya uchafu imeendelea kutisha katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Moshi, ikiwa ni pamoja na stand kuu ya mabasi, kituo cha afya Mbuyuni, soko la Mbuyuni, kata ya Kiborloni, Njoro, Pasua...
1 Reactions
3 Replies
395 Views
Wakati Wananchi wenzetu wa maeneo mbalimbali wakilalamika adha ya kukosa huduma ya maji, huku kwetu Wakazi wa Mbezi Makabe hadi Msumi hali siyo nzuri na ni kama tumeshazoea hali hiyo. Tunapata...
1 Reactions
6 Replies
715 Views
Wananchi wa mtaa wa Nyeburu uliopo kata ya Buyuni ILALA, Dar es salaam wameilalamikia mamlaka ya maji safi na mazingira DAWASA Kisarawe kwa kushindwa kufikisha huduma ya maji kwa zaidi ya miaka...
1 Reactions
11 Replies
675 Views
Wadau Kwema! Hii ni chemba ambayo ipo barabara ya Mikocheni karibu na shule ya Alfa inamwaga maji machafu sana na maji hayo yana halufu mbaya sana. Kwa hali ni hatari kwa magonjwa ya mlipuko na...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Hapa Manispaa ya Songea, ni kama viongozi wameweka pesa mbele kuliko kuwajali Wananchi kutokana na mazingira yalivyo. Binafsi sijui wanazingatia nini au vigezo gani kumpa tenda mtu ambaye kazi...
2 Reactions
10 Replies
972 Views
Wasafiri mnaopitia barabara hii hakika wanaona adha kubwa na taabu na uharibifu mkubwa wa barabara hii. Barabara hii ilijengwa na kuisha mwaka 1980 na Kampuni ya Lanari ya Italia na tangu wakati...
0 Reactions
4 Replies
412 Views
Anonymous
KERO 
Barabara ya kutokea Mvuha kupitia Kibungo Chini Mission kuja mpaka kutokea eneo la Mikese imekuwa kero kwa kila raia anayeitumia, na ajabu ni kuwa barabara hii imekuwa hivi kwa muda mrefu na...
1 Reactions
12 Replies
904 Views
Anonymous
KERO 
Chuo Kikuu cha Iringa mpaka leo hii hatujalipwa fedha zilizozidi sababu tukiwa mwaka wa 2 serikali iliongeza ada kwa sisi wanufaika wa mkopo na wakati tulikuwa tushalipa tukaahidiwa na chuo...
0 Reactions
0 Replies
281 Views
Anonymous
KERO 
Wakazi wa Magomeni Mtambani tupo hatarini kwa magonjwa ya mlipuko, magari ya kubeba takataka yanakaa mpaka mwezi bila kuchukua takataka na takataka kuzagaa mitaani. Pia soma - DOKEZO - Magomeni...
0 Reactions
1 Replies
448 Views
Wakazi wa Mtaa wa Magengeni, Kijitonyama, wamejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya ujenzi ulioanzishwa na jamaa mmoja kusitishwa kwa siku tatu huku ukiwa tayari umesababisha uharibifu mkubwa...
0 Reactions
1 Replies
399 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mwananchi ninayeishi Shehia ya Kwahani, Wilaya ya Mjini Unguja Zanzibar, naomba mamlaka husika pamoja na baraza la Manispaa Unguja kushughulikia kero ya Maji Taka na mitaro inayotoa maji...
0 Reactions
1 Replies
484 Views
Unapotua tu katika mtaa huu wa Keko Mwanga katika Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam utagundua mabadiliko ya hewa tofauti na ulipotoka, harufu inayotoka hapa, hewa inayovutwa eneo hili si ya...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Juzi nilikuwa Morogoro kwenye Mtaa wa Mganza, Kata ya Mindu, nilikutana na moja ya changamoto ambayo ukweli inawaumiza Wakazi wengi wa hapo. Nilichokiona ni kuwa Wananchi wengi wa hapo...
0 Reactions
2 Replies
870 Views
Kero jamani tunaomba serikali iangalie barabara ya kwenda liwale ni mbovu hatari, tunaomba liwale iunganishwe kwa lami kutoka nachingwea to liwale iwe lami Barabara haifai kutoka liwale to songea...
2 Reactions
8 Replies
657 Views
Mh mbunge nyumbani kwenu kunakaribia kutopitika. Hebu kaa na wahusika kabla njia haijakatika kabisa.☝️☝️
3 Reactions
10 Replies
644 Views
Nyendo
KERO Responded 
Jengo la Shule ya Msingi Nsololo lililoezuliwa paa limetelekezwa Walimu wanakaa chini ya miti Nimefika Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora, kuna jambo limenisikitisha na baada ya kuwauliza Wenyeji...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Leo katika pitapita zangu kwenye mitaa mbalimbali ya Jiji la Mbeya nimejionea namna ambavyo Jiji hili lilivyo chafu. Viroba vya takataka vimerundikwa kila mahali katika mitaa ya Jiji hili. Wenye...
7 Reactions
46 Replies
3K Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Mahina Mwanza, hii kero ya maji imekua Sungu Sana. Sasa tunazaidi ya siku 3 Hakuna Maji na Hakuna taarifa yoyote. Hivi wewe Mabula ni Mbuge au Boga
0 Reactions
0 Replies
88 Views
KwetuKwanza
KERO Responded 
Hadi leo Januari 21, 2025, maeneo ya Isyesye hapa Jijini Mbeya haujapata maji kwa wiki moja sasa, tumetoa taarifa kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (MBEYA UWSA) lakini hatuoaji...
1 Reactions
2 Replies
531 Views
Barabara ya Kitete Hospital, kupitia bank ya damu hadi Game reserve imeota majani mengi kwa muda mrefu na haijawahi safishwa. Hali hiyo inapelekea watembea wa miguu kuwa hatarini maana wanatembea...
1 Reactions
1 Replies
313 Views
Back
Top Bottom