Watanzania wenzangu, msitolewe kwenye reli.
Mara nyingi katika siasa hutokea mijadala, matukio au watu wanaojitokeza ghafla na kuhamisha mjadala kutoka kwenye hoja kuu kwenda kwenye mambo...
Barabara ya Tatedo iliyopo katika mtaa wa Kunguru Kata ya Goba jijini Dar es Salaam ni kama imesahaulika, kwani licha ya juhudi zilizofanywa na wakazi wa eneo hilo, tangu mwaka 2020, mpaka leo...
Soma hadi mwisho makala Yangu je Wa kwetu hajanunua PhD ?
Chuo hiki kiko na sifa nzuri kimataifa, lakini kama chuo kingine chochote kina udhaifu wake pia. Haya ndiyo yanayorudiwa mara nyingi na...
Kuna haja ya mamlaka husika kutoa ufafanuzi kuhusu usalama na ubora wa nyama zinazogawiwa kwa wananchi wakati wa shughuli za sadaka au kafara zinazofanywa na wageni kutoka nje ya nchi, ikiwemo...
Majanga ya moto shuleni yamekuwa yakiondoka na uhai wa watoto wetu, mfano huko kenya ajali ya moto imeondoka na uhai wa watoto.
Sina uhakika kama mabweni ya shule zetu hapa nchini (binafsi au...
Jamani
Huu ukuaji wa bei ya viwanja na nyumba ni kawaida kweli? Yaani nyumba kama hii huko Masaki inauzwa kwa Dola Milioni 2 kweli na hii ilikuwa ni 2023. Huko Kariakoo nimeona kuna jengo...
Manispaa ya Mkoa wa Tabora(sijui mikoa mingine), imeanzisha ushuru wa mabango ya biashara ambayo yapo kwenye fremu ya mfanya biashara. Yaani mmiliki wa duka la kuuza unafikia kubandika bango...
Licha ya mahitaji makubwa ya walimu kwa Shule za Msingi na Sekondari, bado walimu wanaojitolea wanaishi maisha magumu, kwa kukosa posho na wengine wakiambulia kulipwa Sh 100,000 kwa mwezi...
Mimi ni Mwananchi kutoka Wilaya ya Kibaha Vijijini – Mlandizi, nina hoja moja kwa Wizara ya Afya kuhusu utaratibu wa kuandaa mwili wa marehemu ukiwa umeenda kuchukuliwa mortuary ili ukazikwe...
Wakati Serikali ikiahidi kutoa kiasi cha Sh 200 Bilioni, kwa mikopo ya vijana, wanawake, na watu wenye ulemavu, baadhi ya Vijana na wanawake wamelalamika kuwa mikopo hiyo inatolewa kwa misingi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.