HOJA Threads

Anonymous
HOJA 
Naomba SERIKALI ifuatilie maagizo kuhusu MSHAHARA KIMA CHA CHINI Kwa TAASISI binafsi hasa Kwa shule mbali mbali MFANO shule ya mchungaji mwema sec iliyoko NGARA KAGERA inalipa Watumishi TSH...
2 Reactions
5 Replies
102 Views
Anonymous
HOJA 
Tunaomba mamlaka husika ziingilie kati tatizo hili haraka iwezekanavyo. Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusu bidhaa zinazouzwa kwa vipimo pungufu. Kwa mfano, mtu anaponunua...
0 Reactions
1 Replies
35 Views
Anonymous
HOJA 
Mimi ni mwananchi wa Mbezi Mwisho, huduma ya mwendokasi wameleta route ya kutoka Mbezi kwenda Gerezani na kivukoni, sasa hiyo huduma wanaita VIP maana yao kwamba gari halisimami popote kituo cha...
4 Reactions
22 Replies
251 Views
Anonymous
HOJA 
Ninaomba kuwasilisha changamoto inayojitokeza katika Hospitali ya Rufaa ya St. Francis, Ifakara-Morogoro (St. Francis Referral Hospital), ambayo pia hutumika kama hospitali ya mafunzo (teaching...
2 Reactions
15 Replies
249 Views
ANDIKO LA Jebra Kambole Amri ya hivi karibuni ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni iliyotolewa tarehe 28/05/2026 na Meya wa Kinondoni Mh. Songoro Hamis Mnyonge ya kuwaondoa kwa nguvu watu...
1 Reactions
4 Replies
183 Views
Habarini, Nimekuwa nikifuatilia na kuhakiki mawasiliano mbalimbali ya taasisi muhimu za serikali ikiwemo Tume ya Utumishi wa Umma na kukuta hazifanyi kazi kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa...
1 Reactions
0 Replies
40 Views
Anonymous
HOJA 
Serikali ilitangaza kuanza kwa mchakato wa kuboresha eneo la Sinza ili kulifanya kuwa la uwekezaji na kwamba Wananchi watapewa maelekezo ya kuyaachia maeneo yao kwa makubaliano maalum ya...
7 Reactions
26 Replies
649 Views
Kuna jambo ambalo limenitia mashaka kuhusu mfumo wa Ajira Portal na namna baadhi ya mitihani inavyoendeshwa. Mimi nilifanya usaili mmoja tarehe 11/4/2026 wa nafasi ya Afisa Tehama Msaidizi (IT...
2 Reactions
21 Replies
378 Views
Basi bwana, kuna mzee mmoja alitoka kijijini akafikia kwa wanawe Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu ya hapa na pale. Kwa kuwa familia hii ni majirani zetu na pia ni watu wa kuficha mambo yao...
2 Reactions
1 Replies
72 Views
Huu sio wito wa majadiliano, huu ni msimamo na ujumbe unaolenga kuhamasisha jamii kuhusu suala la ushoga. Inakuwaje ushoga uendelee kushamiri mitaani huku wahusika wakijinasibu mbele ya macho ya...
11 Reactions
175 Replies
2K Views
Anonymous
HOJA 
Mimi ni mdau wa JamiiForums, nipo Mwanza, Wilaya ya Ilemela, Tarafa ya Nyamhongoro, Kata ya Ibwinza. Kwa muda mrefu tumekuwa tukitegemea kisima kimoja kwa ajili ya kupata maji ya matumizi ya kila...
1 Reactions
5 Replies
118 Views
Anonymous (3827)
HOJA 
Sisi Wahitimu tuliomaliza masomo yetu kati ya mwaka 2014 na 2019 tunaomba Sekretarieti ya Ajira izingatie utaratibu wa kutenga au kugawanya baadhi ya nafasi za ajira kati ya wahitimu wa muda mrefu...
3 Reactions
4 Replies
122 Views
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali...
6 Reactions
105 Replies
726 Views
Anonymous
HOJA 
Wakuu Salaam Sorry hivii mitandao ya simu inawajibika vp kumlinda mtumiaji wao dhidi ya wezi au matapeli wa kimtandao? Kwa sababu kwangu me naona kuamini kwamba wote wanaotapeliwa hutapeliwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
31 Views
Anonymous
HOJA 
Habari, Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu mfumo wa uongozi ndani ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC). Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wauguzi wengi kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Anonymous
HOJA 
Nikiwa mmoja wa waajiriwa wapya kupitia Ajira Mpya, na napenda kueleza changamoto kubwa tunayoipitia kuhusu fedha za kujikimu. Kwenye baadhi ya halmashauri, inaelezwa kuwa fedha hizi zinafika...
0 Reactions
3 Replies
89 Views
Anonymous (629e)
HOJA 
Ningependa kupata ufafanuzi kuhusu matumizi ya mfumo wa TAESA katika utoaji wa fursa za mafunzo kwa vitendo (internship) na ajira kwa vijana. Kwa muda mrefu tumekuwa tukihamasishwa kujiunga na...
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Anonymous
HOJA 
Serikali imeweka sharti kwamba ili mtumishi apandishwe daraja, lazima awe amefikisha alama (score) ya angalau asilimia 75 kwenye mfumo wa PEPMIS kwa mwaka wa 2024/2025. Tatizo ni kwamba watumishi...
0 Reactions
2 Replies
61 Views
Kila mwaka shule nyingi za serikali huwa zinawaagiza wanafunzi kuja na vifaa kama majembe, mafyekeo, ndoo, mifagio na vifaa vingine vya usafi. Swali langu ni hili; ikiwa maagizo haya yanatolewa...
3 Reactions
6 Replies
94 Views
Anonymous
HOJA 
Ndugu Wahusika, Napenda kuwasilisha changamoto ambayo watumishi wengi wa umma wanakumbana nayo wakati wa kutumia mfumo wa e-Uhamisho katika kuwasilisha maombi ya uhamisho kati ya taasisi...
0 Reactions
23 Replies
290 Views
Back
Top Bottom