DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO KERO 
Kuna tatizo kwa Vikundi katika Halmashauri ya Buchosa vina malalamiko kuhusu ile mikopo ya Asilimia 10 kwa vijana, kuna vikundi vimeomba mkopo tangu Julai 2024, hela zilitoka na zikaenda kwa...
0 Reactions
0 Replies
303 Views
Rais Samia, eneo la Kipunguni limekuwa eneo la mateso makubwa sana kwa wananchi. Hili eneo toka 2017 wameletwa watu walipime kusubiri utanuzi wa uwanja wa ndege. Wakasimamisha ujenzi wowote na...
0 Reactions
5 Replies
496 Views
WAFANYABIASHARA Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu wameiomba Serikali kuingilia kati sakata la Wakala wa Vipimo Mkoani humo kuwakamata na kuwaweka Mahabusu kwenye Ofisi za Wakala huo, zilizoko...
1 Reactions
5 Replies
707 Views
Septemba 2019, Serikali ilianza kutekeleza ujenzi wa Soko Kuu la Kisasa-Mwanza ikiwa baada ya kutiwa saini Julai 2019, ambapo Wafanyabiashara zaidi ya 500 waliokuwa wakifanya biashara kwenye soko...
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Anonymous
DOKEZO 
Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Shinyanga (SHIRECU) inadaiwa kipo kwenye mchakato wa kuuza maghala yake yaliyopo Kurasini Jijini Dar es Salaam kwa bei ya 'kutupa' (bei hisiyo na thamani halisi)...
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Kwangu binafsi naona ni mwendelezo wa unafiki wa Polisi Tanzania. Umesikia hata siku moja pale inapotokea ajali ya gari za serikali, hasa hizi Landcruiser ST.. wakisema ajali imesababishwa na...
1 Reactions
13 Replies
953 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kwanini maafisa Maendeleo wanatumia vikundi vya vijana kujipatia kipato kwa njia ya uraghai kana kwamba wamepewa mamlaka ya kukusanya madeni Katika mkoa wa Mbeya na wilaya ya Mbeya vijijini...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
NBica
DOKEZO Responded 
Tunaomba TAKUKURU ichunguze mapato ya Hospitali ya Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi haina Mhasibu yoyote tangu ianzishwe na Mapato ya Hospitali yanakusanywa Jengo la Nje la Wagonjwa (OPD) na Wauguzi...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kutokana na uhaba wa madarasa pamoja na madawati, Wanafunzi Shule ya Misingi Kitonga iliyopo katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (Ilala) wamekuwa wakilazimika kwenda na viroba shuleni kwa...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO 
Majangili (kutoka Tanzania na Kenya) wamemuua faru ndani ya Hifadhi ya Taifa Serengeti. Faru huyo ameuawa wiki moja iliyopita, na nyara zake zimekamatwa Nairobi, Kenya. Baada ya uchunguzi...
1 Reactions
5 Replies
796 Views
Anonymous
DOKEZO 
Tokea mwaka jana wanafunzi wote ambao niko level nao moja wamekuwa wakihangaika juu ya swala la research. Masupervisor tuliopewa watusimamie hakuna lolote wamekuwa wakifanya, tumekuwa tunapoteza...
1 Reactions
8 Replies
639 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kumekuwa na vitendo vya kudai rushwa kunakofanywa na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya ili waweze kupitisha vikundi vya vijana kupata mkopo wa 10% Inayotolewa na halmashauri. Hili...
0 Reactions
0 Replies
301 Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Sisi Wahitimu wa ngazi ya Shahada wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kutoka kampasi zote wa Mwaka wa Masomo 2023/2024 tunakabiliwa na changamoto kubwa ya ucheleweshaji wa vyeti licha ya kufuzu...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Mshangazi mdogomdogo
DOKEZO Responded 
Bonde la Mto Ruhila ambalo Serikali limeweka alama zao kama hifadhi ya mto, wananchi wanaendelea kutumia bonde hilo kwa shughuli za kibinadamu kama vile kilimo, kufua na kuoga hata baada ya...
2 Reactions
1 Replies
618 Views
Katika pitapita za kila siku mtaani, hivi karibuni nilikatiza maeneo ya Vingunguti pembezoni mwa Bonde la Mto Msimbazi na kukutana na hali ya hatari kwa afya. Kiukweli mambo si shwari katika eneo...
1 Reactions
3 Replies
626 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mwanzoni Miaka ya 2000 kila mvua iliponyesha wakati wa kuvuka Barabara tulikuwa tunalazimika kuvua viatu na kukunja nguo kisha tunavuka. Miaka zaidi ya 20 baadaye hali tuliyoizoea kuvuka kwenye...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO PreGE2025 
Habari Kumekuwa na tabia tokea uandikishwaji wa daftari la wapiga kura lianze, wajumbe wa CCM wanapita majumbani kukusanya namba za vitambulisho hasa kwa wamamaa, tunajiuliza wanazipeleka wapi?
0 Reactions
0 Replies
280 Views
ngara23
DOKEZO Responded 
Kuna video zilisambaa zikionyesha mabinti wa Baobab secondary wakifanya video za uchi na vitendo vya usagaji. Hii shule inamilikiwa na nani? Uongozi wa shule ya Baobab haujaomba radhi wala...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwa sasa, kuna changamoto kubwa katika sekta ya afya, hasa kwenye suala la uchunguzi wa awali kwa njia ya maelezo ya mgonjwa (oral diagnosis). Madaktari wengi waliopo kwenye hospitali na vituo...
0 Reactions
0 Replies
422 Views
Mimi kama mkazi wa Jiji la Mbeya kuna kitu sikielewi kutoka kwa Viongozi wa Jiji hasa Idara ya Ardhi na Watu wa Mazingira wa NEMC. Huku Mbeya katika Kata ya Nsalaga, Bonde la Uyole, Uongozi wa...
4 Reactions
51 Replies
3K Views
Back
Top Bottom