Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,403
- 1,876
Je umekunywa maj meng je tayar kwa kupimwa je?Naomba kuuliza hilo suala aliloagiza mkuu wa nchi hivi pesa zake huwa zinakuwa zishapitishwa ktk bajeti au?
Je umekunywa maj meng je tayar kwa kupimwa je?Naomba kuuliza hilo suala aliloagiza mkuu wa nchi hivi pesa zake huwa zinakuwa zishapitishwa ktk bajeti au?
Kwahiyo mwingine anarusha mikono huku kuwa nchi imechezewa?Rais ni taasisi complex sana tena ukiiendelea kuingalia na macho ya kisiasa zaidi ndio utaendelea kumuona Jpm tu. Ukielewa robo tu ya hiyo utaacha kuangaika na mkulu.
UN anasikilizwa Trump, Putin na MChina, wengine wanakata vitunguu tu.
Ningekuwa magufuli wangekomaMaamuzi ya kibabe ni muhimu sana hasa unapoongoza nchi ya vilaza na na wezi kama Tanzania